saci
JF-Expert Member
- Mar 4, 2014
- 241
- 389
- Thread starter
- #41
Akifulia inakuwaje?Unapenda kumuona katengeneza nywele zake binti anag'aa, we unadhani anag'aa bure??
Unataka akuombe mtaji, ukimpa ndo hatokaa apendeze,au faida yake ndo ataenda kusukia?
Nature haijawahi kudanganya,mwanaume utaendelea kula kwa jasho,ndo raha ya mapenzi!!

