Wanawake mnataka nini hasa?

Nnikinogeshwa sana tu nampenda
 
Duh kwahiyo sijakomaa

Usiwe MTU wa kuendekeza drama za Wanawake.
Hiyo ni dalili ya kutokomaa.
Wanawake wanapenda Drama, ku-pretend, pia wanapenda kuonekana ni ghali na wanathamani. Hivyo kujifanya wanadharau kwao ni ishu ya kawaida. Hata kàma ukimtazama unamuona Hana lolote la maana lakini utamuona anajitutumua ili umuone wathamani.

Dawa Yao ni kuachana NAO tuu,
 
Kwani shida nini?
 
Angalia mimi jinsi nnavyowatreat wanawake zangu,nna wanawake watatu kama sio wanne.

Mmoja ni yule wa kuwa naye mara kibao yaani hata nikiwa batani,nikienda church na kila sehemu niko naye,yeye huwa namla bila kumpa hela coz namvalue tu coz ana akili zake.

Wawili hawa huwa naitaga ghetto kwa ajili ya kuwala tu,wakija hakuna stories wala nini,ni kuvua na kuchapa tu hakuna maandalizi wala nini!maandalizi kwani naandaa shamba mimi?

Nikimaliza nawapa hela wanaenda zao kwao,wanajua kabisa kuwa nna mtu najua kuwa wana watu wao,ila hayo hayanihusu.

Kuna mmoja ndo namseti na yeye ajae aengeze list ya ninao wala kwa mkwanja,kanambia pasaka anakuja nimle,ila kanambia ana mtu wake nikamwambia na mimi nna mtu wangu,it’snt this simple?? Usijisumbue na hawa watu cha msingi kumbuka ndom tu mkuu coz yatakutegeshea mimba haya
 
Mbussu4life[emoji23]
 
Anza na uwongo ukishampata mwambie ukwel ,ila ukweli uwe baada ya kumpata nazani umenielewa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…