Wanawake mlioolewa njooni tujadili jambo

Wanawake mlioolewa njooni tujadili jambo

Ukishajua mwenzako ana cheat usifanye malipizi inauma lakini utapona tu, hakuna maumivu yasiyopoa, utapona tu cha msingi nikujianda ki akili na kihisia, ikishatokea imetokea yakabili tu
 
Ila kuwa mkweli basi...kinachouma ni kweli kule kugegeda mbususu nyingine au ile kwamba jamaa hela anatumia huko ambayo ungetumia weye au nini haswa kinafanya roho iume?
Kwenda kumla mwingine basi...kwamba upendo umehama..( kwa wajinga ambao wanahama na upendo)
Ila kwa mtu anayekula tu mbususus huku nyumbn yukp vzr...ni ka wivu tu kwamba kuna mwinginr basi..ndo roho itauma
 
Hivi kuna wanawake mnanyimwa unyumba pia , mimi najua ni wakina baba pekee ndiyo tunapitia shida hiyo maana wakina mama hupoteza hamu baada ya hormones kupungua
hapana nilimaanisha mwanaume!

Hivi ni kweli hormone huwa zinapungua ndo zinasababisha mwanamke asijisikie? Mpk muda wote huo?!!![emoji848]

Ila kesi ya aina hii kwa mwanamke namfahamu mmoja tu,mume anazingua mke hata aombe hapewi!
 
hapana nilimaanisha mwanaume!

Hivi ni kweli hormone huwa zinapungua ndo zinasababisha mwanamke asijisikie? Mpk muda wote huo?!!![emoji848]

Ila kesi ya aina hii kwa mwanamke namfahamu mmoja tu,mume anazingua mke hata aombe hapewi!
Kwa mwanamke alie na mtoto mara nyingi haya huwatokea,
 
Huyo anayemla hana kosa..lbd awe mtu wako wa karibu...
Deal na mume kisawa sawa...mkomeshe humo ndn mpk ajute


Mchepuko hana kosa kivipi wakati anajua jamaa ni mume wa mtu na Pengine harusi yao alihudhuria na pengine mke wa ndoa amekuwa akimuonya mara nyingi lakini hakutaka kuachana na mume wa mtu?

Katika muktadha huo anapaswa kuwakomesha wote mume na mchepuko wake ni kuwapiga mwanaukome!
 
Namimi sitokubal ujue nachepuka, ndo maana tunajificha[emoji26]


Mke mwema anapaswa kujua njia za watu wa nyumbani mwake.

Kwa kutumia akili na maarifa na mafunuo ya Roho Mtakatifu.

Ni mbaya mwanamke unashindwa kugundua nyendo za mume wako kiasi cha kuwa na michepuko hadi kuji establish na kuzaa watoto hadi wanakuwa wakubwa huna habari? Hapana naona ni udhaifu mkubwa sana tena sana.

Awareness is empowering.
 
Utalipiza mara ngapi? Unaweza jikuta ndio unajizidishia matatizo kwenye hicho kisasi chako


Nazani litumike neno funzo badala ya kisasi.

Hata mtoto akikosea inaruhusiwa kuchapwa fimbo katika kumuonya iwapo umemuonya kwa mdomo hataki kuacha tabia mbaya.

Mimi napenda kutumia kumpa mtu funzo badala ya kisasi. Kisasi ni cha Bwana.

Ila funzo utalipata.
 
1. Inauma sana ujue


3. Ila shida ya nini...wanaume wote hawa...

Siku hizi Ni mwendo wa kujisevia tu......yaani unajivutia wako anaondoa stress...... unafaidi style mpya

Inafika kipindi unaona kabisa atajijua mwenyewe.... auze mechi asiuze sio shida zako..

...........kila mtu atumie sehemu zake za siri vile impendezavyo!!!!!!


Asprin asisome hapa!!!!+


[emoji1666][emoji1666]
 
Back
Top Bottom