Wanawake mlioolewa njooni tujadili jambo

Wanawake mlioolewa njooni tujadili jambo

Huyo anayemla hana kosa..lbd awe mtu wako wa karibu...
Deal na mume kisawa sawa...mkomeshe humo ndn mpk ajute
Mme akomeshwi dada,
mtengenezee tu mazingira ajutie kosa lake, na sio kumkomesha
 
Namimi sitokubal ujue nachepuka, ndo maana tunajificha[emoji26]
Mkeo itakuwa mpole wa kumuachia Mungu mi kiukweli kwa huo mchep wako na nijue ya Kwanza unizuge na Bado nijue mnaendelea,, ningeufutilia mbali
 
1. Inauma sana ujue


3. Ila shida ya nini...wanaume wote hawa...

Siku hizi Ni mwendo wa kujisevia tu......yaani unajivutia wako anaondoa stress...... unafaidi style mpya

Inafika kipindi unaona kabisa atajijua mwenyewe.... auze mechi asiuze sio shida zako..

...........kila mtu atumie sehemu zake za siri vile impendezavyo!!!!!!


Asprin asisome hapa!!!!+
 
Halafu mi siachi mume eti kisa katomba kwingine,, nitaumia ila sitomuacha ila niliyemfuma nae huyo Sasa itategemeana hiyo siku nitakuwa ktk mood gani,,

Imenichukua zaidi ya robo karne kumpata mume mwema huyu hivyo siwezi kumuacha kifala fala, kitaeleweka tu nadhani nimemaliza DeepPond
nimekupenda bure,aachwi mtu hapa afe kipa afe beki
 
1. Inauma sana ujue


3. Ila shida ya nini...wanaume wote hawa...

Siku hizi Ni mwendo wa kujisevia tu......yaani unajivutia wako anaondoa stress...... unafaidi style mpya

Inafika kipindi unaona kabisa atajijua mwenyewe.... auze mechi asiuze sio shida zako..

...........kila mtu atumie sehemu zake za siri vile impendezavyo!!!!!!


Asprin asisome hapa!!!!+
Wewe bwana siku hizi umekuwaje?[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Kha so wanawake wote wenye akili wameolewa tumeachjwa mibonzoo tuhangaike nayo[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Haha haha wapo bana..ss hivi si mnadeal na vitoto vya 2000s..wenyewe mnasema wabichi[emoji2][emoji2]....japo kilomita wengine wametuzidi....sisi wa enzi za mwinyi tuko zetu ndoani....
 
Back
Top Bottom