Yoda
JF-Expert Member
- Jul 22, 2018
- 62,735
- 105,416
Mchepuko hana kosa siku zote, wengi wao huwa stress relievers wa yanayotokea ndani ya ndoaMchepuko hana kosa kivipi wakati anajua jamaa ni mume wa mtu na Pengine harusi yao alihudhuria na pengine mke wa ndoa amekuwa akimuonya mara nyingi lakini hakutaka kuachana na mume wa mtu?
Katika muktadha huo anapaswa kuwakomesha wote mume na mchepuko wake ni kuwapiga mwanaukome!