Umeolewa na miaka 25 hongera.Halafu mi siachi mume eti kisa katomba kwingine,, nitaumia ila sitomuacha ila niliyemfuma nae huyo Sasa itategemeana hiyo siku nitakuwa ktk mood gani,,
Imenichukua zaidi ya robo karne kumpata mume mwema huyu hivyo siwezi kumuacha kifala fala, kitaeleweka tu nadhani nimemaliza DeepPond
Je yeye mnaendelea kupendana? Je tendo unampa? Yan unasamehe tu unaendelea kumuhudumia kama mume?
Anachepuka vizuri sana sema yeye ana akili ndio maana hujawahi kujua nuktaStress zinaniuwa mkuu
Kuhusu upendo lzm utapungua..hata tendo halitokua na radha kama zamani..kuhusu kuhudumia ...huduma ni km zipiJe yeye mnaendelea kupendana? Je tendo unampa? Yan unasamehe tu unaendelea kumuhudumia kama mume?
Huyo anayemla hana kosa..lbd awe mtu wako wa karibu...Halafu mi siachi mume eti kisa katomba kwingine,, nitaumia ila sitomuacha ila niliyemfuma nae huyo Sasa itategemeana hiyo siku nitakuwa ktk mood gani,,
Imenichukua zaidi ya robo karne kumpata mume mwema huyu hivyo siwezi kumuacha kifala fala, kitaeleweka tu nadhani nimemaliza DeepPond
Niliolewa nikatoka, nikaolewa tena, zaidi ya hiyo 25Umeolewa na miaka 25 hongera.
#YNWA
Siwezi kumkomesha mume hapo Ni kuchagua moja kati ya kumsamehe ama kumuacha kuliko kuishi na mume kimkomoanoHuyo anayemla hana kosa..lbd awe mtu wako wa karibu...
Deal na mume kisawa sawa...mkomeshe humo ndn mpk ajute
Wala sio sababu..mwanaume ht umpe asubh na jioni ameumbwa haridhiki na k moja.Muache kuwanyima waume zenu haki zao za ndoa, vyenginevyo mtaachwa mlee watoto kwa wale mliobahatika kuzaa na wale ambao hawana watoto mtatafutiwa sababu muachike .
Wanaume hawependi kuyumbishwa kwenye ike shughuli. Nyie mkidaiwa mnajitia pirika wenzenu nje wakitafutwa tuu wako available.
Wanaume wanasikitika hamuwajibiki ipasavyo. Kwakijisinguzia kutojisikia mwisho wa siku waume wanahamishia hamu zao kwa wadada wa kazi na wadogo zenu. Acheni ujinga wa kujiona mshawahi.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]...kuna ambao akili hawana....Sasa kumbe mnakuwa ana akili ila mnajidaigi machizi.
Mwanamke anayevunja ndoa yake kisa mume kala mbususu nyingine ni mjinga wakutupwa
Aiseee kumbe wanawake wenye akili mpo....kama hujaolewa aisee ebu taja mahari bei gani nijilipue[emoji1787][emoji1787][emoji1787]...kuna ambao akili hawana....
We cheat huko ila heshima yangu tunza...penda familia yako ..hakikisha unalinda afya ya familia sio unajiachia nje hovyo uokote magonjwa.
Kifupi chepuka kwa akili. Usilete dharau kwa mke....
Mi nakuacha km ulivyo....ukichoka utaaacha
Mjane!Nilipasua Simu yake
Ugomvi mkubwa
Nikakusanya virago nikaondoka
It broke me into pieces and turn me to what I am today.
Sasa simu ya mume waishika ya nini jameniNilipasua Simu yake
Ugomvi mkubwa
Nikakusanya virago nikaondoka
It broke me into pieces and turn me to what I am today.
Mjane!
AU?
Upendo na uvumilivu siyo kwenye UZINZI.Upendo huvumilia, kama yamekukuta mwombe Mungu akupe hekima ili uweze kusamehe na kusahau kisha muendeleze safari ya wawili kimaisha.
Okay great.. Happy for you kama mambo yako on point.A strong wife,independent woman and mother of 3.
Kweli kabisa unachukua virago vyako na kusepaUpendo na uvumilivu siyo kwenye UZINZI.
Ukristo wenyewe umeruhusu kuvunja ndoa ikiwa Ni kwasababu ya UZINZI