Asprin
Platinum Member
- Mar 8, 2008
- 68,302
- 96,517
Kwahiyo mwanaune mwenye akili anatakiwa azini na msichana..... nimekuelewa sana mama DIle ya mbuzi sio kuzini.
Wale wanachofanya kinaitwa kulala na wanyama
Zinaa ni kwa wanadamu
Kwahiyo mwanaune mwenye akili anatakiwa azini na msichana..... nimekuelewa sana mama DIle ya mbuzi sio kuzini.
Wale wanachofanya kinaitwa kulala na wanyama
Zinaa ni kwa wanadamu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] japo ni kweli, ila ni ngumu na inauma.Kasalitiwa Beyonce ije kuwa mimi kapuku,, ikitokea umemfuma ni bahati mbaya tu ila kumuacha baada ya kumfuma sio wazo zuri maana kumpata wa peke yako ni mushkeli labda ukatambike
Hujawahi kukosea Mr, uko sahihi sana.Kusaliti pia nijambo linalohitaji hulka sio kila mwanaume ancheat ila pia ukianza kujaribu huaachi kama hujawahi bora uache
Jaribu kufunguka zaidi, bado sijakuelewaa vizuri.Ukishajua mwenzako ana cheat usifanye malipizi inauma lakini utapona tu, hakuna maumivu yasiyopoa, utapona tu cha msingi nikujianda ki akili na kihisia, ikishatokea imetokea yakabili tu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] na wao wameolewa. Itakua.Wameitwa wanawake walioolewa wanaume wamekuja mbio
Kuna sehemu nimeandika inauma sana tu, maamuzi ni kumuacha ama kumsamehe, na ukiamua kumuacha utakuwa na mwingine nae ukigundua usaliti unamuacha? Njia bora ni kumsamehe lainisha moyo kumsamehe tu vinginevyo unaweza hata kumuua, na hatia ya kuua itakuandama miaka yote[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] japo ni kweli, ila ni ngumu na inauma.
Kwahiyo mwanaune mwenye akili anatakiwa azini na msichana..... nimekuelewa sana mama D
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kwa kweli yaanKuna sehemu nimeandika inauma sana tu, maamuzi ni kumuacha ama kumsamehe, na ukiamua kumuacha utakuwa na mwingine nae ukigundua usaliti unamuacha? Njia bora ni kumsamehe lainisha moyo kumsamehe tu vinginevyo unaweza hata kumuua, na hatia ya kuua itakuandama miaka yote
Kuna ile dhana unataka kulipiza kwa kuwa mpenzi wako amekuasaliti na wewe unataka kusaliti, ila kumbuka hakunaga revange ya hovyo kama kulipiza kucheat kwa kuwa upo desperate utampa kila mtu na baadae utaanza majuto na yatakuumiza nafsi na mawazo zaidi utagundua hivi kwanini nilifanya hivi...Jaribu kufunguka zaidi, bado sijakuelewaa vizuri.
Yaani unikomeshe ndani ya nyumba yangu hao maboya sujui mnawaokoteaga wapi.Huyo anayemla hana kosa..lbd awe mtu wako wa karibu...
Deal na mume kisawa sawa...mkomeshe humo ndn mpk ajute
Yaan mwanamke nnaekupanda unipige matukio ndani ya nyumba yangu, hiiiii...baghoshaaa.Kuhusu upendo lzm utapungua..hata tendo halitokua na radha kama zamani..kuhusu kuhudumia ...huduma ni km zipi
Kupika?
Kufua?
Kumnyooshea?
Ss hayo si mambo ya kawaida ambayo ht baba yangu mzazi namfanyia...
Chakula ni hiko hiko tu....
Kosa achepuke halafu asitoe huduma ndani atanitambua mie nani....
Lkn atoe huduma..asiniletee dharau aah maisha yanasonga...
Naweza hama chumba lkn nje ya nyumba yangu hakuna atakayejua km nimehama...
(Kifupi unampiga matukio ndni tu kimya kimya)
Mkitoka nje km sio nyie..atajuta kuchepuka mwenyewe....[emoji28][emoji28]
Kweli bwana...huwezi jua[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] na wao wameolewa. Itakua.
Umekomaa binti, bora watuache hivi hivi wasiwaze sanaHaya mambo hutakiwi ht kuyatia kichwan...jiweke 50/50 ...kwamba anaweza..lkn pia hawezi.
Sasa wewe jiaminishe mume wangu hachepuki na hatochepuka..siku likikuta jambo unaumia.
Ila ukijiweka katikati...ht stress hupati.. ilimradi nyumban anahudumia vzr....hakutesi...we usiwaze.
Sasa km ndo umegundua kakucheat...hakikisha anajua kwamba umejua ana cheat..kisha endelea na life yako na watoto wako...humo humo ndn.
Hamna kuondoka wala nn.
We jifanye mjinga siku moja muulize mama yako je baba hajawahi kukucheat..usikie majibu yake.
Wanaume hawa waache hivi hivi ukifatilia utaumia mama ..life is short
Yaan mwanamke nnaekupanda unipige matukio ndani ya nyumba yangu, hiiiii...baghoshaaa.
Ouk hapo nimekuelewa vizuri mno.Kuna ile dhana unataka kulipiza kwa kuwa mpenzi wako amekuasaliti na wewe unataka kusaliti, ila kumbuka hakunaga revange ya hovyo kama kulipiza kucheat kwa kuwa upo desperate utampa kila mtu na baadae utaanza majuto na yatakuumiza nafsi na mawazo zaidi utagundua hivi kwanini nilifanya hivi...
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kweli bwana...huwezi jua
Shida mmeoa maboya yasojishughlisha..kila kitu mme wanguYaani unikomeshe ndani ya nyumba yangu hao maboya sujui mnawaokoteaga wapi.
U nailed it...hlf wengi sijui matukio wanachukulia ni jinai tuNi swala la timing tu!
Ishini na wake zenu kaa akili na siyo mabavu.
Umeongea kwa ukali saana mkuu...ila umesema UKWERIINikuulize kabla hata ya yeye kuchepuka tendo ulikuwa unampa?je ushirikiano ilikuwa asilimia ngapi?je ulikuwa unaanza sex wewe au yeye???