Wanawake: Kwanini mnasumbua mkiwa na mimba?

Wanawake: Kwanini mnasumbua mkiwa na mimba?

Molembe ungekuwa hujaoa ningekuomba unioe haki vile wanaume kama nyie adimu eti ila ndo basi tena nishawahiwa japo nahisi kama we ni ke me post nyingine unapost kama mdada kama nimekosea nisamehewe
Mkuu mimi ni mwanaume labda kama umenichanganya.
 
Sijui nielezeje hapa, lakini sio siri kwa wanawake wengi miezi mitatu ya mwanzo ya ujauzito huwa inaambatana na maudhi mengi au mabadiliko mengi sana kwa baadhi ya wanawake.

Kuna wale kila atakacho tia mdomoni anatapika hata maji.Anaeza shinda tangu asubuhi mpaka jioni bila chochote tumboni unatapika mpaka unaskia koo linauma.Kweli nkikupigia simu uniletee maaple mawili au ubuyu ntakua nakusumbua wewe kama mwanaume.

Tuhurumieni huwa tunakua katika kipindi kigumu sana na wakati mwingine wala si kujifanyisha ni hali halisi.Kama wapo wanaoact basi wameamua tu.
tumekuelewa mkabasia,umenena mema.
 
wa kwangu kila baada ya nusu saa ananiamsha nikamletee maji ya baridi kutoka kwenye friji...hapa nina mpango wa kuamishia friji yenyewe chumbani kabisa nisiwe napata tabu ya kwenda sebuleni
Wajibika mkuu,kwakuwa upo.usingekuwepo angeyafuata mwenyewe.
 
Alafu utakuta muda wote cmu zinaingia ukimwambia anakujib ovyo kama yeye ndo wakwanz kupata ujauzito
ukimwambia na simu umsaidie kupokea na kujibu meseji anaruka mita mia
 
Dah!Ndugu sijui nianzie wapi?Ila I wish ungebeba mimba ukaelewa kuwa hakuna kuact,japo wengine wanazidisha. Kiukweli kuna mabadiliko mengi sana yanatokea unapokua mjamzito ndo unakuta moodswings, chakula fulani unapenda zaidi au kingine hukitaki. Especially miezi mitatu ya mwanzo . Kuliko kulalamika kama unaweza msikilize mwenzako tu maana ukiacha hata kilichopo tumboni kinaathirika amini nakuambia. Na hoja ya kuwa wazungu hawafanyi hivyo haina mashiko. Wote hupitia yale yale. Wenzako sasa wanaagiza milkshake saa tano usiku ndo utajuta sasa,kama hujaitafuta McDonald's ilipo. Ni hali ya mpito so vumilianeni. Big up to u Molembe u r the man.
 
Kuna mmoja aliambiwa akamnunulie udongo wa kula tena ni usiku wa saa 5 na mvua inanyesha yaani wao wanasema kila mimba na fujo zake nyingine ni kutemwa mate mwenye mimba dah
 
Kuna mmoja aliambiwa akamnunulie udongo wa kula tena ni usiku wa saa 5 na mvua inanyesha yaani wao wanasema kila mimba na fujo zake nyingine ni kutemwa mate mwenye mimba dah
Shemeji yangu anaamlisha aletewe udongo toka Zenji ukileta wa kigoma atakataa kama anapepo la utambuzi! asa mpaka atafutwe mtu toka Zanzibar atume mzigo[emoji12]
 
Mtoa mada kuna siku unapatia kuna siku unaharibu,

Hlf nimegundua una tabia ya Panya (wapenda kuzodolewa)
 
mimba zingine zinakuja na mengi na kudeka ndo sehemu ya mwanamke.
 
[emoji124] [emoji124] [emoji124] [emoji124] [emoji124] [emoji123]
 
sawa mkuu!.mbona wazungu hawana ujinga huo?.hiyo biology ya waafrika tu wenye wanaume wa kuwapa huo usumbufu?
Kuna movie inaitwa "Back up plan" ya JLo, umeiona? Kama ndio utapata jibu. Iwapo bado, itafute kaka....
Nyengine ni "What to expect when you are expecting"
Hii kitu haina taifa...
 
Nashukuru mkuu,wengine wanatoka povu tu hawajaelewa maudhui ya mada.ukishafunga ndoa inakuwa ni suicide mission,unakuwa subject to any humulation in the name of love! Mara upangiwe siku ya mgegedo! round! siku hupewi bila maelezo ya maana!. usipofunga ndoa unapewa red carpet treatment.
Tena mkuu Yale ya gori sita saba yote kwishney kimoja tu ukitaka cha pili kama kajifungua anakwambia unamtonesha maumivu ya kajifungua akiwa bado ajajifungua analalamika kweli kuwa anaumia mwishowe unamwacha. Wadada acheni hizo aisee mtatufungia malango ya mbingu tusiione alaaah!.
 
Mwanamke akiwa na mimba anataka ale hiki kile ni usumbufu tu. Mbona hawasemi wana hamu na kazi???
 
Mtoa mada kuna siku unapatia kuna siku unaharibu,

Hlf nimegundua una tabia ya Panya (wapenda kuzodolewa)
Nanogesha jamvi mwakwetu! maisha yenyewe mafupi! lazima nibalance.kuchambwa suna ati.
 
Back
Top Bottom