Wanawake: Kwanini mnasumbua mkiwa na mimba?

Wanawake: Kwanini mnasumbua mkiwa na mimba?

kwasababu tunavyovibeba vinatusumbua hakuna mfano wake we bob luse ukipewa uishi nayo mimba masaa 24 unaweza kufa kabisa .. yaani ni hali isiyoelezeka mbaya saba haswa miez mictatu kushuka uwii sitamani kuzaa tena inakufanya uwe na hasira tu hata mtu akikuangalia watamani kumnasa makofi


kuna wanaume wenzako wanawake zao wakiwa na mimba wao ndo wanapata yale mambo ya kula udongo na kula mavi ya kuku kushindwa kuamka asubuhi hebu waulize huwa wanajiskiaje watakwambia

mpende sana mwanamke wako mjali na mvumilie haswa akiwa na mimba
 
ni nature tu japo wengine wanaongeza manjonjo zaidi .. ila kuna kahali fulani hasa miezi mitano ya mwanzo kuwa mvumilivu tu
 
wabongo wengi hupata mimba bila kukusudia matokeo yake ndo kama hayo sasa,,.some times wanakusudia kufanya hvyo wakidhani wanamkomoa mwanaume
well said mkuu! wengi inakuwa kukomoana! na kupimwa namna unavyowajibika ukitumwa chochote atakacho!
 
kwakuwa umejiunga jf 2016,nakusamehe bure!. mada kwanini wasiokuwa na wanaume au wazungu hawasumbui hivyo? anzia hapo kutililika.
Hahahhahha pole sana Mkuu naona kama umepa-nic hivi,..is here whr we dare to talk openly..!?? Huh,.take it easy meeen,.com on!!!![emoji6]
 
kwasababu tunavyovibeba vinatusumbua hakuna mfano wake we bob luse ukipewa uishi nayo mimba masaa 24 unaweza kufa kabisa .. yaani ni hali isiyoelezeka mbaya saba haswa miez mictatu kushuka uwii sitamani kuzaa tena inakufanya uwe na hasira tu hata mtu akikuangalia watamani kumnasa makofi


kuna wanaume wenzako wanawake zao wakiwa na mimba wao ndo wanapata yale mambo ya kula udongo na kula mavi ya kuku kushindwa kuamka asubuhi hebu waulize huwa wanajiskiaje watakwambia

mpende sana mwanamke wako mjali na mvumilie haswa akiwa na mimba
nashukuru kwa darasa,na uwasilishaji wa mchango wako bila matusi.ww ni mke mwema.ongaza mtoto mwingine unaweza kumlea kwa maadili yaliyotukuka.tunatakiwa tuijaze Dunia
 
ni nature tu japo wengine wanaongeza manjonjo zaidi .. ila kuna kahali fulani hasa miezi mitano ya mwanzo kuwa mvumilivu tu
Nashukula.miss chagga.you are one of few wise woman in jf.kuna wengine wanadhani mitusi ndio kuchangia.
 
Tena hapo ndo Mtihani ulivuja na kapiga Chabo mwanzo mwisho!
ukitaka kupima uwezo wako na wangu angalia idadi ya post zangu,angalia.LIKE na POINTS TROPH utajua mimi nipo next level.
 
Hahahhahha pole sana Mkuu naona kama umepa-nic hivi,..is here whr we dare to talk openly..!?? Huh,.take it easy meeen,.com on!!!![emoji6]
i prefer people who talk sense and within the topic not who start their own topic within my topic and discuss personalities instead of focusing on issue on the table. there woman's in this topic like miss chagga,she confessed that such experience is true but there some woman who capitalize& exaggerate on pregnancy experience.
 
i prefer people who talk sense and within the topic not who start their own topic within my topic and discuss personalities instead of focusing on issue on the table. there woman's in this topic like miss chagga,she confessed that such experience is true but there some woman who capitalize& exaggerate on pregnancy experience.
Sorry me,.BOB LUSE
 
Sijui nielezeje hapa, lakini sio siri kwa wanawake wengi miezi mitatu ya mwanzo ya ujauzito huwa inaambatana na maudhi mengi au mabadiliko mengi sana kwa baadhi ya wanawake.

Kuna wale kila atakacho tia mdomoni anatapika hata maji.Anaeza shinda tangu asubuhi mpaka jioni bila chochote tumboni unatapika mpaka unaskia koo linauma.Kweli nkikupigia simu uniletee maaple mawili au ubuyu ntakua nakusumbua wewe kama mwanaume.

Tuhurumieni huwa tunakua katika kipindi kigumu sana na wakati mwingine wala si kujifanyisha ni hali halisi.Kama wapo wanaoact basi wameamua tu.
 
wa kwangu kila baada ya nusu saa ananiamsha nikamletee maji ya baridi kutoka kwenye friji...hapa nina mpango wa kuamishia friji yenyewe chumbani kabisa nisiwe napata tabu ya kwenda sebuleni
 
Alafu utakuta muda wote cmu zinaingia ukimwambia anakujib ovyo kama yeye ndo wakwanz kupata ujauzito
 
Napenda sana mke wangu akiwa na mimba hasa ule usumbufu aisee anakuamsha saa nane usiku anataka kuoga ukichelewe kurudi nyumbani anakubembeleza mpaka unarudi ukifika ana nuna aisee acha watusumbue watoto wana raha yake yaani hata kama ukiwa na stress ukiwa na watoto utacheka na stress zitaisha
Molembe ungekuwa hujaoa ningekuomba unioe haki vile wanaume kama nyie adimu eti ila ndo basi tena nishawahiwa japo nahisi kama we ni ke me post nyingine unapost kama mdada kama nimekosea nisamehewe
 
Back
Top Bottom