Hahahaaa,hatari huku mtu amenuuna balaaa.Tena mkuu Yale ya gori sita saba yote kwishney kimoja tu ukitaka cha pili kama kajifungua anakwambia unamtonesha maumivu ya kajifungua akiwa bado ajajifungua analalamika kweli kuwa anaumia mwishowe unamwacha. Wadada acheni hizo aisee mtatufungia malango ya mbingu tusiione alaaah!.
mkuu naona unataka show down na Nyani! mimi nitafuatilia huo mnyukano.naandaa Advanced dictionary nisipitwe na neno lolote la kimombo.Kuna wengine wala sio ujauzito tu bali ni tabia ya kuzaliwa nayo.
Mfano Nyani Ngabu .
Japokuwa ameshazaa watoto 7 lkn ukorofi haachi.
Huyu binti ni mkorofi sana kila mahala.
Hii ni tabia mbovu inayotokana na malezi mabovu. Hasa ikiwa mtoto hamjui babake km Huyu Nyani ngabu.
Ahsanta.
Nanogesha jamvi mwakwetu! maisha yenyewe mafupi! lazima nibalance.kuchambwa suna ati.