Wanawake kwanini hamu hofu wala huruma?

Wanawake kwanini hamu hofu wala huruma?

Ndoa inavunjwa kwa uzinzi uwe wa mke au mume, so hiyo bibilia yako ndo umesema wewe unaruhusiwa kufanya uzinzi??
Ndoa ikifungwa haivunjwi mkuu. Zaidi ya hapo mume ndiye anayeoa na ndiye anayetoa talaka, ok? Mke hata akienda mbele ya sheria ATAOMBA TALAKA. Haiombi mahakama bali mume wake.

Kibiblia nimeshasema ndoa ikifungwa haivunjwi kwa namna yeyote ile. Lakini si ruksa kwa yeyote kuzini. Si mke wala mume kwani watakuwa watakatifu mbele za Bwana.
 
Juu ya kitanda chako mmhh...umewezaje kukilalia tena....mi nahisi ningekua naona mapicha picha hapo daily...

Unaweza msamehe but hiko kitanda sijui.mbadili
 
Denic unajua me kukaa tu nyumbani bila kujishughulisha na chochote naona kazi sana, mtoto wetu ameshakua sasa, nahitaji kufanya kazi.

Nimaneno ya mke wangu usiku mmoja alipo yaongea kwa hisia sana maana nilimkataza asifanye kazi yoyote abaki nyumbani amlee mtoto baada yakujifungua, kama mwanaume yalinigusa nikafikilia sana nikaamua nijenge kifremu cha duka hapa hapa nyumbani,biashara kidogo ilichangamka. Nilikuwa namuamini sana huyu mke wangu licha yakusikia kuna jamaa anamfatilia, sikuwa na hofu kabsa maana mimi mara nyingi naludi usiku kutoka na kazi nazofanya
baadae upendo ulipungua sana yale mapenzi yalikata gafla uchovu mwingi tendo la ndoa sasa likawa adimu nilivumilia yote hayo, nikaamua nifanye uchunguzi ndipo nilipomfuma mke wangu anafanywa juu ya kitanda tunacholala tena chumbani kwetu, dah! Wanaume tuwe na huruma na wake za watu, nimeshndwa kabisa kusamehe hili jambo, saivi yupo kwao kijijini ananiomba aludi, nipeni ata ushauri tu nifanyeje?
Mwenyezi Mungu akutie nguvu mkuu, peke yako tu huwezi. Kama mna watoto jaribu kutaangalia furaha ya wanao. Ukishaachana na mama yao watakosa furaha, pia malezi yao yatayumba.

Jitahidi tu umrudishe kwa ajili ya wanao. I mean sacrifice furaha yako kwa ajili ya wanao. Jitoe kwa ajili yao mkuu
 
Ndoa ikifungwa haivunjwi mkuu. Zaidi ya hapo mume ndiye anayeoa na ndiye anayetoa talaka, ok? Mke hata akienda mbele ya sheria ATAOMBA TALAKA. Haiombi mahakama bali mume wake.

Kibiblia nimeshasema ndoa ikifungwa haivunjwi kwa namna yeyote ile. Lakini si ruksa kwa yeyote kuzini. Si mke wala mume kwani watakuwa watakatifu mbele za Bwana.
Hapo nimekuelewa, pharagrah ya mwisho carries all 🙏🙏
 
Tabia ni kama ngozi. Ukijua hilo utajua uamuzi wa kufanya.
Na nyie mnaomshauri eti asamehe warudiane hamumtakii mema mzeebaba.
 
Denic unajua me kukaa tu nyumbani bila kujishughulisha na chochote naona kazi sana, mtoto wetu ameshakua sasa, nahitaji kufanya kazi.

Nimaneno ya mke wangu usiku mmoja alipo yaongea kwa hisia sana maana nilimkataza asifanye kazi yoyote abaki nyumbani amlee mtoto baada yakujifungua, kama mwanaume yalinigusa nikafikilia sana nikaamua nijenge kifremu cha duka hapa hapa nyumbani,biashara kidogo ilichangamka. Nilikuwa namuamini sana huyu mke wangu licha yakusikia kuna jamaa anamfatilia, sikuwa na hofu kabsa maana mimi mara nyingi naludi usiku kutoka na kazi nazofanya
baadae upendo ulipungua sana yale mapenzi yalikata gafla uchovu mwingi tendo la ndoa sasa likawa adimu nilivumilia yote hayo, nikaamua nifanye uchunguzi ndipo nilipomfuma mke wangu anafanywa juu ya kitanda tunacholala tena chumbani kwetu, dah! Wanaume tuwe na huruma na wake za watu, nimeshndwa kabisa kusamehe hili jambo, saivi yupo kwao kijijini ananiomba aludi, nipeni ata ushauri tu nifanyeje?
unataka uahauri gani tena mvulana wakati ushamaliza
 
Kwanini asirudishwe na yule aliyetoka naye amekuonaje ili aje aliwe Tena? Wewe jiongeze bhana msamehe ila ACHANA NAYE
 
Muache arudi tu wala usiogope. ila muandalie jini kiuno akatombwe vizuri. Na babake. .anajiamini nini?

Au akija mchinje kabisa andaa shimo. Asipatikane Duniani.

make huyo Dunia imemshinda sasa anakuletea kitu kikumalize weye polepole ila wewe hujui.

Muwahi jifanye mjinga kwanza.usikubali akupikie muache aje um peleleze kiaina. Spy camela nyingi tu siku hizi.

Ukimuacha tu atakuua siku moja kwakutumia rafikize
 
Sijui kwanini simuonei huruma mwanaume aliyetendwa. Na bado....
 
Uamuzi Mzuri
Simama Hivyo Hivyo
Usioe Haraka
Kaa Jitafakari
 
Maumbile yanahusu ,sasa wewe unatska kusema mume akiwa na wake watatu na wewe unataka kuwa na bwana watatu?
Kama kawaaaa, hata sisi tunapenda kasha tofauti , hakuna asiyependa kitu kipya bwanaaa. Basi tu tunavumiliana
 
Maumbile yanahusu ,sasa wewe unatska kusema mume akiwa na wake watatu na wewe unataka kuwa na bwana watatu?
Kwamba maumbile ya mwanamke unavyoingia wewe na akiingia mwingine si ndo hivyo hivyo, au we unafikiri ni yako tu inafaaa?? Kwa akili yako wanawake wanakaa wanakusubiri wewe tu utoke kwenye michepuko yako ushachoka apate makombo wakati Kuna vijana freshhh wanasimamia kucha kitu kipyaaaa🏃🏃🏃
Happy new year
 
Back
Top Bottom