DNA test siyo kirahisi rahisi, ni mpaka mama wa mtoto na yeye awepo na pia bado jamaa atapewa majibu ya uongo kwa maslahi ya mtoto asije kuteseka.Nakushauri huyo mtoto fanya DNA maana sioni ushauri mwingine wa maana hapa.
Ningekuwa Mimi nablock yeye na familia yake yote,mtoto akitaka anitafute akikuwa.
Jina lako bayaMkuu usiruhusu huo ujinga unatafutiwa gepu utatangulizwa kaburini unajua huko kwao mpk sasa anapewa semina gani ? Umeshajiuliza hilo ...... Je wanawake wameisha katika hiii dunia ... Hata kama mna mtoto hata huyo mtoto anaweza asiwe wako !! Mtoto asiwe kamba ya kukunyongea ..... Tafuta mwanamke mwingine sogeza ukae nae maisha yaendeleee
Mwanamke ukiona anaanza kumvulia mwanaume mwingine nguo jua huyo amevaa roho nyingine unapaswa kuwa makini sana
Mkuu usione watu hapa mjini wana pesa ukajua za halali, ukifatilia utajiri wao utakimbia mwenyewe
Pole sana msamehe tu no one is perfect
shetan mwenyewe si ndo weweMsamehe ila home asi rudi ..yani aje ulale nae tena kitanda kile kile hata shetani hawezi kukubari uu ujinga
Ni baba mkwe wangushetan mwenyewe si ndo wewe
HaahaaaNi baba mkwe wangu
Amekaribishiahuu ushaur unaendana vipi na mada
Na mume kutoka nje je?Hata biblia inasema ndoa itavunjwa kwa mke kutoka nje.
Sasa sijui wewe unakwama wapi.
Sent from my SM-A515F using JamiiForums mobile app
Pole sana bro,imenigusa sana hiyo.Denic unajua me kukaa tu nyumbani bila kujishughulisha na chochote naona kazi sana, mtoto wetu ameshakua sasa, nahitaji kufanya kazi.
Nimaneno ya mke wangu usiku mmoja alipo yaongea kwa hisia sana maana nilimkataza asifanye kazi yoyote abaki nyumbani amlee mtoto baada yakujifungua, kama mwanaume yalinigusa nikafikilia sana nikaamua nijenge kifremu cha duka hapa hapa nyumbani,biashara kidogo ilichangamka. Nilikuwa namuamini sana huyu mke wangu licha yakusikia kuna jamaa anamfatilia, sikuwa na hofu kabsa maana mimi mara nyingi naludi usiku kutoka na kazi nazofanya
baadae upendo ulipungua sana yale mapenzi yalikata gafla uchovu mwingi tendo la ndoa sasa likawa adimu nilivumilia yote hayo, nikaamua nifanye uchunguzi ndipo nilipomfuma mke wangu anafanywa juu ya kitanda tunacholala tena chumbani kwetu, dah! Wanaume tuwe na huruma na wake za watu, nimeshndwa kabisa kusamehe hili jambo, saivi yupo kwao kijijini ananiomba aludi, nipeni ata ushauri tu nifanyeje?
Kati ya mume na mke nani kamuoa mwenzake? Mara yako ya mwisho kusoma bilblia ilikua lini?Na mume kutoka nje je?
Ungeendelea na chuo kwanza, haya ni makubwa sana kwako. AsantePole sana msamehe tu no one is perfect
Mleta mada angekua kaka yako ungempa huu ushauri?Pole sana msamehe tu no one is perfect
Anaomba ushauriPole sana
Aliyemwoa mwenzake nani?Na mume kutoka nje je?