Wanawake kwanini hamu hofu wala huruma?

Wanawake kwanini hamu hofu wala huruma?

Pole sana, Sali Sana...kosa la usaliti tena kitandani kwako achana nae Kuhusu mtoto toa matumizi na endelea na maisha yako.
 
Siku niliomfumania na EX wake wanapiga stori,ule mtiti haukuwa wa kitoto,sijui wewe uliefumania tukio Mubashara inakuwaje na bado unaomba ushauri...
 
Denic unajua me kukaa tu nyumbani bila kujishughulisha na chochote naona kazi sana, mtoto wetu ameshakua sasa, nahitaji kufanya kazi.

Nimaneno ya mke wangu usiku mmoja alipo yaongea kwa hisia sana maana nilimkataza asifanye kazi yoyote abaki nyumbani amlee mtoto baada yakujifungua, kama mwanaume yalinigusa nikafikilia sana nikaamua nijenge kifremu cha duka hapa hapa nyumbani,biashara kidogo ilichangamka. Nilikuwa namuamini sana huyu mke wangu licha yakusikia kuna jamaa anamfatilia, sikuwa na hofu kabsa maana mimi mara nyingi naludi usiku kutoka na kazi nazofanya
baadae upendo ulipungua sana yale mapenzi yalikata gafla uchovu mwingi tendo la ndoa sasa likawa adimu nilivumilia yote hayo, nikaamua nifanye uchunguzi ndipo nilipomfuma mke wangu anafanywa juu ya kitanda tunacholala tena chumbani kwetu, dah! Wanaume tuwe na huruma na wake za watu, nimeshndwa kabisa kusamehe hili jambo, saivi yupo kwao kijijini ananiomba aludi, nipeni ata ushauri tu nifanyeje?
Usirudi nyuma mkuu,.huyo sio mke, ameshindwa kuona hadhi na heshima ya kitanda mnacholala mpaka anaruhusu kulala na mchepuko ndani ya kitanda hicho?

Ukifanya maamuzi ya kijinga ya kumrudisha huyo mke utakuja kujutasana
 
Kumsamehe ni lazima sababu usipofanya hivyo future yako yote inakuwa imefungwa na hiyo experience uliyopata kwenye ndoa yako....


Ila kurudiana nae sasa,nikuulize swali kati ya furaha moyo wako na ndoa yako utachagua nini?

Mi najali furaha yangu kuliko japo lolote lile,Wewe je?

Upo tyr kuwa na ndoa halafu huna furaha au kuacha ndoa halafu walau kuwa na furaha...kipi muhimu?

Binafsi nina matatizo matatu
1.i notice everything
2.i feel everything
3.i have good memory.

Kwa matatizo hayo hapo siwezi kuishi na mwanamke msaliti nitakuja kumpiga shoka nipate kesi za kijinga
Sio kupiga shoka tu mluu, unaweza kuua mke pamoja namtoto bila kutarajia,
 
Kama ni mkristo ndivo ivyo anatakiwa kufanya asamehe akae na wakubwa waongeee na mkewe wajue Kama wataendelea kwa Aman au inakuwaje,ikumbukwe ukishaoa umeoa na ukiolewa umeolewa tofauti na hapo afanye tu vyovyote ila atakuwa kinyume na biblia,Kama n Muslim cjui kwa upande huo.
Hata ndoa ya kikristo inaruhusiwa kuvunjwa ikiwa uzinzi umebainika na vithibitisho vipo
 
Mkuu msamehe kwa kutorudiana naye, msamaha haimanishi mpaka mrudiane.

Kuna hatari kubwa sana ya kuumizwa tena endapo mtarudiana
 
Pole mkuu,I feel you it's very sad.. achana nae huyo ukimrudisha atakuona mbumbumbu la mwisho.. tulia jipe muda ufanye maamuzi sahihi..

Saint Anne unaona wanawake wenzako huku..? Sasa ole wako uje unifanyie hivi walahi utumbo wako ntaulost na ntalia na ugali..😅
du kumbe wako huyu nishawahi kumkimbiza kimya kimya huko pm!!
 
Kwa hiyo huyo Mtanzania uliemkuta juu ya kinena cha wife ulimuacha tu aondoke kwa amani kiongozi wangu?
 
Mwanamke ana abort Mtoto wake mwenyewe! kwa mikasi mikali tena faster utasikia Dr maliza kabisa, wewe nani? akupende?
 
Washirikina hao hataree! oa!! haraka uweke ushindani. ukilegeza atarudia, uone muziki wake anaweza asikuue lkn ukawa km zezeta! ba
 
Denic unajua me kukaa tu nyumbani bila kujishughulisha na chochote naona kazi sana, mtoto wetu ameshakua sasa, nahitaji kufanya kazi.

Nimaneno ya mke wangu usiku mmoja alipo yaongea kwa hisia sana maana nilimkataza asifanye kazi yoyote abaki nyumbani amlee mtoto baada yakujifungua, kama mwanaume yalinigusa nikafikilia sana nikaamua nijenge kifremu cha duka hapa hapa nyumbani,biashara kidogo ilichangamka. Nilikuwa namuamini sana huyu mke wangu licha yakusikia kuna jamaa anamfatilia, sikuwa na hofu kabsa maana mimi mara nyingi naludi usiku kutoka na kazi nazofanya
baadae upendo ulipungua sana yale mapenzi yalikata gafla uchovu mwingi tendo la ndoa sasa likawa adimu nilivumilia yote hayo, nikaamua nifanye uchunguzi ndipo nilipomfuma mke wangu anafanywa juu ya kitanda tunacholala tena chumbani kwetu, dah! Wanaume tuwe na huruma na wake za watu, nimeshndwa kabisa kusamehe hili jambo, saivi yupo kwao kijijini ananiomba aludi, nipeni ata ushauri tu nifanyeje?
Hata mm sikushauri umrudie maaana alikufanyia dharau kubwa sana, cha kufanya broo ili uondokane na mawazo tafta pisi nyingine o oa ili uondokane na stress maisha yaendelee
 
Back
Top Bottom