Je kuna uhusiano gani kati ya mwanamke mwenye ndevu na utajiri? Nakumbuka miaka ya nyuma, mkoani Mbeya wanawake wenye ndevu walikuwa wanapotea kwenye mazingira ya kutatanisha na walipo patikana walikutwa ni maiti na videvu na sehemu zao za siri vikiwa kimekatwa na kinyofolewa
nimeipenda hii anda:Hizo za kizamani, za siku hizi za mkorogo hazina maana hata chembe!
Siku hizi wanawake wengi wanaota ndevu ukilinganisha na miaka ya nyuma! Hii inasababishwa na nini?