Sanyambila
JF-Expert Member
- Jan 24, 2018
- 339
- 457
Wasalam wadau.
Dunia ya Sasa imekumbwa na matatizo au changamoto ya vijana wadogo kiumri KUKUMBWA na MVI kidevuni na imekukwa Kama Natural modelling appearance (handsome) ukikutana na vijana kumi wa umri kuanzia 30 Hadi 40 vijana 6 au 7 Wana mvi kidevuni (white hair). Sasa baada ya MAELEZO hayo.
Sababu za NDEVU kuwa nyeupe nini?
Na je, kuna Uwezekano wa kurudisha katika mwenekano wa weusi Kama awali?
Maana Kuna watu wanapewa heshima zisizo zao 🤔🤔 kwa kuhisiwa wana umri mkubwa kumbe KIJANA wa miaka 35.
Pia kuna watu wanateseka na vipara na vijana wameunga na staili ya unyoaji wa zungu Kama akina Pep gudiola. Lakini Wayne Rooney aliwahi kuotesha nywele kwenye kipara mpaka leo vipara nje ya urithi sababu nyingine nini?
Na je, dawa zipo hospital au madukani ama vyotevyote.
Naomba kuwasilisha!
Dunia ya Sasa imekumbwa na matatizo au changamoto ya vijana wadogo kiumri KUKUMBWA na MVI kidevuni na imekukwa Kama Natural modelling appearance (handsome) ukikutana na vijana kumi wa umri kuanzia 30 Hadi 40 vijana 6 au 7 Wana mvi kidevuni (white hair). Sasa baada ya MAELEZO hayo.
Sababu za NDEVU kuwa nyeupe nini?
Na je, kuna Uwezekano wa kurudisha katika mwenekano wa weusi Kama awali?
Maana Kuna watu wanapewa heshima zisizo zao 🤔🤔 kwa kuhisiwa wana umri mkubwa kumbe KIJANA wa miaka 35.
Pia kuna watu wanateseka na vipara na vijana wameunga na staili ya unyoaji wa zungu Kama akina Pep gudiola. Lakini Wayne Rooney aliwahi kuotesha nywele kwenye kipara mpaka leo vipara nje ya urithi sababu nyingine nini?
Na je, dawa zipo hospital au madukani ama vyotevyote.
Naomba kuwasilisha!