nitonye
JF-Expert Member
- Dec 18, 2011
- 7,273
- 3,750
Wapunguze kula chipsi kuku zina madhara makubwa kwa afya zao angalia wengine wanatokwa na vitambi kabisa
Halafu siku hizi kuna mtindo eti wanafanya mazoezi ya kupunguza tumbo
Wapunguze kula chipsi kuku zina madhara makubwa kwa afya zao angalia wengine wanatokwa na vitambi kabisa
Hebu wekeni picha ya mwanamke mwenye ndevu hapa. Najaribu kutafuta sipati.
Kwa taarifa zangu za Kiintelejinsia wanawake wenye ndevu wananoga sana kunako 6x6
Haya sasa, wakati wenzio wanarithishwa majumba na magari wewe warithishwa ndevu...lolInamaana za kurithi au?
Halafu siku hizi kuna mtindo eti wanafanya mazoezi ya kupunguza tumbo
Daaah! Utamu na ndevu vinahusiana vipi?
Huyu hapa ni Kaunta Bar moja maarufu Moro hapo mtamu kweli kweli
Huyu hapa ni Kaunta Bar moja maarufu Moro hapo mtamu kweli kweli
Mwanaume hutakiwi kuchomwa na ndevu za mwanamke unatakiwa uchomwe na chuchu
Daaah! Utamu na ndevu vinahusiana vipi?
Huyu hapa ni Kaunta Bar moja maarufu Moro hapo mtamu kweli kweli
Hayo ndio mambo yenyewe
Dah! ila hizo zimekaa vibaya kweli, mbona kaziacha hivyo makusudi!!. utadhani beberu. Loh!
Beberu???...lolDah! ila hizo zimekaa vibaya kweli, mbona kaziacha hivyo makusudi!!. utadhani beberu. Loh!
Ila nimewahi kusikia wanawake wenye ndevu ni watamu kweli. Sijui kuna ukweli gani. Kama kuna ukweli bora wacha waongezeke.
Duuuu! jamani shughuli ni watu na watu ndo sisi. Hivi mkuu mefikiria nini hadi kuongea hii maneno. Aisee ngoja nizime laptop yangu, naweza nikaishia kuvunjika mbavu mie!
Ila nimewahi kusikia wanawake wenye ndevu ni watamu kweli. Sijui kuna ukweli gani. Kama kuna ukweli bora wacha waongezeke.
Umeona mujembe huo mkuu?
Kuna mmoja hivi anazo mpaka mustachi