sweetlady
JF-Expert Member
- Dec 24, 2010
- 16,947
- 8,409
Tena na wewe usipende kula kuku wa kisasa na haya mavyakula ya kwenye makopo sana, utajikuta waota matiti mchana kweupe!Wanawake wenye ndevu wanaanza kuongezeka kwa kasi kitu kinacholeta mkanganyiko. Kitu gani kinawafanya nyie wanawake muote ndevu?
Vyakula natural vinadharaulika sana siku hizi, watu wanatafuta ladha zaidi, hawajui kuwa vitamu vyote vina madhara makubwa!