1.kuna fununu kuwa ndevu kwa akina mama ni dalili nzuri za utajiri.
2.kimsingi ni hali ya kawaida tu ambayo mara chache hutokea,kama kumkuta mwanamme ana sauti ya kike au ameota matiti.
3.kwa hiyo mkuu usije ukaanza kumfanyia mahesabu shemeji iwapo ana ndevu.
2.kimsingi ni hali ya kawaida tu ambayo mara chache hutokea,kama kumkuta mwanamme ana sauti ya kike au ameota matiti.
3.kwa hiyo mkuu usije ukaanza kumfanyia mahesabu shemeji iwapo ana ndevu.