Wanawake kuendesha gari peke yao...

Wanawake kuendesha gari peke yao...

When was the last time l told you that l am crazy in love with you?

Ha ha ha ha ha haaaaaaaa!!!!!!!!!!!!!!!!

https://www.jamiiforums.com/member.php?u=21062
Boflo mimi nafikiri swali zuri ni kwanini magari ya wanaume yanakuwa na abiria wengi hasa wa jinsi ya kike?

Wengi wenu hamna usafiri kwani kuna ubaya gani tukiwasaidia?????

Umeitoa wapi hii????

Ni kwakuwa wanaume hawawezi kuishi bila watu wengine (waoga)?

Kuna binadam anaweza kuishi peke yake?

Au kwa sababu wanatumia magari kama chambo cha kunasia wadada (kutongozea)?

Na hapa ndipo wanawake mnaonekana vilaza

Hivi mtu anakutongoza kwa gari tu tena la kuazima

Una akili kweli wewe?

Au ni wakarimu sana, lakini ni kwa lifti tu?

Yes,hapo ni kweli kabisa!!!!!!!!
 
hahahah, kwanza now that umebadili avatar tunaweza kuquotiana maana kweli ile ilikuwa inanitisha.

Usijali nilijua tu!!!!!!

Halafu, kumiss mavitu yangu sio news kwani nilitegemea maana you cant have me halafu usitamani kuwa na mimi maisha yako yote; you are not the first you know that!:smile-big:

So,naweza kumbushia angalau kwa ka usiku ka leo tu....lol!!!!!!!:A S kiss:
 
Ngoja waje hapa
watu8 alisema kujivika mawazo ya wanawake ni kazi ngumu sana!!!!!!!!!!!

Mkuu sasa hivi uko smart sana kwenye hiyo avatar yako, Boflo nae yuko poa, wamebaki kadhaa mfano Dr.zero na wenzake ambao wanautumikia mtandao wa "freemasons" avatar zinatisha kama utajiri.....
 
When was the last time l told you that l am crazy in love with you?
Boflo mimi nafikiri swali zuri ni kwanini magari ya wanaume yanakuwa na abiria wengi hasa wa jinsi ya kike?
Ni kwakuwa wanaume hawawezi kuishi bila watu wengine (waoga)?
Au kwa sababu wanatumia magari kama chambo cha kunasia wadada (kutongozea)?
Au ni wakarimu sana, lakini ni kwa lifti tu?
Ni ukarimu wa asili tu mama.
 
Unaweza kumpa lift mwanamke mwenzio, hiyo afadhali lakini wanamme kuwapa lift ni usumbufu. Kwanza mwekezaji anamind kukuta kidume kimetuna mbele afu mko wawiliu tu. Wengine unawapa lift wanaanza kukutongoza bure. Ukute umekula umin wako hatari ukikaa kinapanda hadi God knows whhere. Mood swings za kike, sometimes unahitaji space kuwa peke yako na kutafakari tu.
Hapo kwenye mood swings,kweli kuna siku hutamani hata kusikiliza redio kwenye gari na kuna watu ukiwapa lift atataka aongee kuanzia anapanda mpaka anafika aendako.
 
ish kaka mkubwa!yani gari ninunue mwenyewe af nikufanyie wwe roho ya kwanini
BTW ntaweka wapi viatu vyangu,na zile sufuria za mtumba je,karoti zangu na kabichi vikae wapi,kitenge changu cha sare ya kitchen party,ahahahhaa unataka nikiwa napaka wanja wangu uwe unaniangalia!sitaki bana
Ni suala la kujisikia na kuwa na roho ya kwanini! Mbona wachache wao huwa wanatoa lifti bila matatizo?
 
Ampakie nani labda.??? Ukute mashost zake wa kazini wote wanamagari...au unataka ile ya posta 1000...kwa mwanamke kupakia abiria kituoni not safe..na pia mwanaume anaconfidence ht akisimamishwa na mtu asiyemjua anaomba lift ana mpakia..tofauti na mwanamke...uoga mwingi na pia si salama....na ht hao wanaume si wote wanaopakiza watu..halafu compare mgari unaopakiza watu kila siku unachakaa...gari nimenunua mwenyewe so I do wat I want.....

Mkuu tofali, nakuunga mkono. Hata tofauti na gari kuchakaa, hata kuchafuka linachafuka sana, uanakuta mtu katoka huko na matope, halafu unapondenda car wash wanakula 15,000/=.
 
Last edited by a moderator:
Mkuu sasa hivi uko smart sana kwenye hiyo avatar yako, Boflo nae yuko poa, wamebaki kadhaa mfano Dr.zero na wenzake ambao wanautumikia mtandao wa "freemasons" avatar zinatisha kama utajiri.....

Duh!

Kwahiyo mkuu ulikua unadhani niko huko?

Kazi kwelikweli!!!!!!!!!!!
 
halafu kwanini na wanaume hampendi kuwapa lift wanaume wenzenu?

ahahahhahahhaha mi kuna mtu ofisini yupo radhi anisubr hata masaa sita!
ili anipe lifti tu japo mpka ubungo!ehehehhe nna set ya kudumu kabisaaa! Kaunga what else do we need wanawake sisi!
ahahahhah sante sana BWANA kuniumba mwanamke!
 
Last edited by a moderator:
Ubinafsi na komesha watesi.
Unajua it is very uncommon mwanamke kumsimamishia gari mwanamke mwenzie ampe lifti lakini kwa wanaume vyovyote twende kazi. Nimeshashuhudia hii sana na kila siku ipo hivyo hivyo haibadiliki.
Wapo wachache ambao wana ujasiri wa kufanya kama wanaume wafanyavyo
 
Hii ni kwa usalama wao binafsi pamoja na mahusiano yaliyopo na wanaume wao! mwanamke hawezi kumpa lifti mwanaume labda yule ambae hata mtu wake anamjua na pia inategemea muda na mazingira yaliyotumika! hawezi kumpa lifti mwanamke asiyemjua kwa sababu sasa hivi wadada ndio wanaotumika katika michongo ya ujambazi, na wale anaowajua basi bilashaka wako katika level moja! Lakini wengine wanatumia nadharia hii kama njia ya kujitetea kumbe moyoni wamejaa uchoyo wanapenda tu wawe peke yao, ambapo pia inaweza ikawa hatari ya kutekwa na watu wabaya wakikusudia kufanya hivyo!!!
 
Back
Top Bottom