charger
JF-Expert Member
- Nov 21, 2010
- 2,320
- 1,373
acha kutusingizia mkuu kwahiyo we cku ukipewa lifti na mwanamke ukakutana na vitu hivyo kwa gari utashuka?
Ntashuka, kisa cha kukalia malipstick nikatoka na malipstick mat*koni?
acha kutusingizia mkuu kwahiyo we cku ukipewa lifti na mwanamke ukakutana na vitu hivyo kwa gari utashuka?
si wanawake wote wanaoendesha magari wamehongwa wengine 2nanunua wenyewe ebo!
When was the last time l told you that l am crazy in love with you?
Boflo mimi nafikiri swali zuri ni kwanini magari ya wanaume yanakuwa na abiria wengi hasa wa jinsi ya kike?
Wengi wenu hamna usafiri kwani kuna ubaya gani tukiwasaidia?????
Ni kwakuwa wanaume hawawezi kuishi bila watu wengine (waoga)?
Au kwa sababu wanatumia magari kama chambo cha kunasia wadada (kutongozea)?
Au ni wakarimu sana, lakini ni kwa lifti tu?
hahahah, kwanza now that umebadili avatar tunaweza kuquotiana maana kweli ile ilikuwa inanitisha.
Halafu, kumiss mavitu yangu sio news kwani nilitegemea maana you cant have me halafu usitamani kuwa na mimi maisha yako yote; you are not the first you know that!:smile-big:
sababu magari yao ni kama saloon
,viatu,khanga,vibanio na taka taka zoote humo
Ngoja waje hapa
watu8 alisema kujivika mawazo ya wanawake ni kazi ngumu sana!!!!!!!!!!!
Ni ukarimu wa asili tu mama.When was the last time l told you that l am crazy in love with you?
Boflo mimi nafikiri swali zuri ni kwanini magari ya wanaume yanakuwa na abiria wengi hasa wa jinsi ya kike?
Ni kwakuwa wanaume hawawezi kuishi bila watu wengine (waoga)?
Au kwa sababu wanatumia magari kama chambo cha kunasia wadada (kutongozea)?
Au ni wakarimu sana, lakini ni kwa lifti tu?
Hapo kwenye mood swings,kweli kuna siku hutamani hata kusikiliza redio kwenye gari na kuna watu ukiwapa lift atataka aongee kuanzia anapanda mpaka anafika aendako.Unaweza kumpa lift mwanamke mwenzio, hiyo afadhali lakini wanamme kuwapa lift ni usumbufu. Kwanza mwekezaji anamind kukuta kidume kimetuna mbele afu mko wawiliu tu. Wengine unawapa lift wanaanza kukutongoza bure. Ukute umekula umin wako hatari ukikaa kinapanda hadi God knows whhere. Mood swings za kike, sometimes unahitaji space kuwa peke yako na kutafakari tu.
Ni suala la kujisikia na kuwa na roho ya kwanini! Mbona wachache wao huwa wanatoa lifti bila matatizo?
Ni ukarimu wa asili tu mama.
Ampakie nani labda.??? Ukute mashost zake wa kazini wote wanamagari...au unataka ile ya posta 1000...kwa mwanamke kupakia abiria kituoni not safe..na pia mwanaume anaconfidence ht akisimamishwa na mtu asiyemjua anaomba lift ana mpakia..tofauti na mwanamke...uoga mwingi na pia si salama....na ht hao wanaume si wote wanaopakiza watu..halafu compare mgari unaopakiza watu kila siku unachakaa...gari nimenunua mwenyewe so I do wat I want.....
Tutake radhi tafadhali.Tehetehetehetehe mpaka ped, chupi, ubuyu nk.
Mkuu sasa hivi uko smart sana kwenye hiyo avatar yako, Boflo nae yuko poa, wamebaki kadhaa mfano Dr.zero na wenzake ambao wanautumikia mtandao wa "freemasons" avatar zinatisha kama utajiri.....
halafu kwanini na wanaume hampendi kuwapa lift wanaume wenzenu?
sababu magari yao ni kama saloon
,viatu,khanga,vibanio na taka taka zoote humo
halafu kwanini na wanaume hampendi kuwapa lift wanaume wenzenu?
inaonyesha fikra za wanawake sio kama za wanaume!