Wanawake Hawa kujichora tattoo ya Nabii Geo Davie, ni mahaba au kutafuta fursa?

ANTDOTE

JF-Expert Member
Oct 14, 2023
217
605
Hapo chini ni mgongo wa mwanamke kwa Jina la Elizabeth Benjamin aliyejichora tattoo ya Jina la Geo Davie, na kupelekea Ndoa yake kuvunjika. Lakini alipofika kanisani kwa Nabii Huyo aliweza kuvuta mkwanja kama hongera kwa kujichora tattoo hiyo.
Screenshot_20231126-165127.jpg


Na Sasa msanii Amber Rutty Naye amefuata kwa kujichora tattoo ya sura ya Nabii Geo Davie mgongoni mwake kama inavyoonekana hapo chini
Screenshot_20231126-165339.jpg


Swali linabaki, haya ni mahaba au ni kutega fursa?
Screenshot_20231126-165127.jpg
Screenshot_20231126-165127.jpg
Screenshot_20231126-165339.jpg
 
Ujinga tu, yani nijichanganye nikafanye huo ujinga yule mtoto wa mama mkwe ananiacha asubuhi na mapema.
Haishangazi huyo mwanamke kuachika.

Hivi haya maigizo yanamnufaisha vipi Geo Davie? Sijawahi kuelewa.
 
Ujinga tu, yani nijichanganye nikafanye huo ujinga yule mtoto wa mama mkwe ananiacha asubuhi na mapema.
Haishangazi huyo mwanamke kuachika.

Hivi haya maigizo yanamnufaisha vipi Geo Davie? Sijawahi kuelewa.
Unachora ile ya kufutika.

Ila imani hii yetu inachezewa sana ila jamaa wanajua wajinga wengi daaah.........
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom