Hapo chini ni mgongo wa mwanamke kwa Jina la Elizabeth Benjamin aliyejichora tattoo ya Jina la Geo Davie, na kupelekea Ndoa yake kuvunjika. Lakini alipofika kanisani kwa Nabii Huyo aliweza kuvuta mkwanja kama hongera kwa kujichora tattoo hiyo.
Na Sasa msanii Amber Rutty Naye amefuata kwa kujichora tattoo ya sura ya Nabii Geo Davie mgongoni mwake kama inavyoonekana hapo chini
Swali linabaki, haya ni mahaba au ni kutega fursa?
Na Sasa msanii Amber Rutty Naye amefuata kwa kujichora tattoo ya sura ya Nabii Geo Davie mgongoni mwake kama inavyoonekana hapo chini
Swali linabaki, haya ni mahaba au ni kutega fursa?