Mwaka wa Mbele
JF-Expert Member
- Mar 5, 2026
- 674
- 2,147
basi wewe jua tu kuwa Mwanamke anayependa kila mwanaume mwenye hela ni malaya.Lakini hata nyie si mnaenda kuangalia malisho nje ndani yakipungua
na mwanamke Malaya hakuna mwanaume atamsamehe.
basi wewe jua tu kuwa Mwanamke anayependa kila mwanaume mwenye hela ni malaya.Lakini hata nyie si mnaenda kuangalia malisho nje ndani yakipungua
kwahiyo nisikilizie muamala?😎hapana sijakuchek nimefurahi tu
Hahaha, wasikupangie siyo?Wanawake washajimilikisha kuwa wao wanatakiwa wapewe kila kitu na wanaume.
Wanakosea.
Mwanamke anatakiwa apewe kila kitu na mwanaume wake.
Na Kama sio Mwanaume wako. Balance shobo. Na pambana na hali yako.
Binafsi sioni shida kuhudumia Mwanamke wangu na watoto. Ni jukumu langu.
Lakini eti kisa ww mwanamke na tumekutana tu uanze, we Kaka naomba ninunulie hiki au hiki. Mm Sinunui. Wacha unione bahili. 😊😊😊
kwanza ndio itanisaidia haswaa.
namba ile ile eeh,kwahiyo nisikilizie muamala?😎
Ongezea kwa mwanamke anayependa hela atakuwa Kama mfuko wa takataka. Kila mwanaume atashusha mzigo wake hapo..Helaa utapewa sana maana zpoo tuu binti ila hzo laini mbili zitachakazwa sanaaa aloooView attachment 3660822
ndio☺️namba ile ile eeh,
Haya mimi nina hela hapa njo uniuzieSisi tunapenda hela, hatupendi tunajifanya tunakupenda ila kiundani hatuna mapenzi nawe kabisa.
Tunapenda hela sasa
Sawabasi wewe jua tu kuwa Mwanamke anayependa kila mwanaume mwenye hela ni malaya.
na mwanamke Malaya hakuna mwanaume atamsamehe.
Baba yako ni Mwanume , anza kuzipenda hela ya baba yako kwanzaSisi tunapenda hela, hatupendi tunajifanya tunakupenda ila kiundani hatuna mapenzi nawe kabisa.
Tunapenda hela sasa
imeisha hiyondio☺️
Na uzuri wa hela kwa mwanaume n km maji ya bahari tu yanavyo kupwa na kujaaa..acha waje nasi tunawapokea hvyo hvyo wangu wangu mpk wang'ate menoo.Ongezea kwa mwanamke anayependa hela atakuwa Kama mfuko wa takataka. Kila mwanaume atashusha mzigo wake hapo..
Unaweza ukahisi unamkomoa mwanaume, kumbe unajikomoa. Hela ziko zinatafutwa.
Amesema aliondolewa mbupu akawekewa k obviously atakupatia tu😀Kwann ajiite Binti? Haya me nataka mtoto sasa anaweza kunipa mtoto huyu pampula? Anazingua
Huwezi kumpenda kila mtu, kwahiyo mkijileta kwenye mtego mwendo ni uleule tu pesa! Hutaki pita kushoto!liko pana hili suala.
Ni sawa na Mwanaume kusema tuwapendee nini wanawake.
Unafikiri ni Jagina ndio inafanya tuwapende?.
Jagina ambayo za kununua zimejaa?.
Au unafikiri ni nyege?.
Wakati Mbaga Jr anasolution zake.
kwahiyo sababu nje ya hizi ndio zinatakiwa pia Mwanamke ampende Mpenz wake.
Atakuwa alivurugwa na neno blank mzee! Hajui hapo ana fill any amount? Ungetupa sisi wajelajela tukufilisi😎Mdogo wako nilimpa ka mtihani kidogo akaangukia pua.
Nilimwambia nampa blank cheque ajaze thamani yake, akasema hataki blank cheque, anataka bank cheque.
Hilo ndio tatizo sasa! Mnaishia kupendana na kuzaana kama paka🚮Nami nikupende.
Tukipendana hutaomba hela, nitatimiza kabla hujafungua mdomo.
Kupenda hela zenu sio kuwapenda hebuu tofautisha bwana mdogo!basi wewe jua tu kuwa Mwanamke anayependa kila mwanaume mwenye hela ni malaya.
na mwanamke Malaya hakuna mwanaume atamsamehe.
Nafasi bado ipo, wewe tuAtakuwa alivurugwa na neno blank mzee! Hajui hapo ana fill any amount? Ungetupa sisi wajelajela tukufilisi😎