Na sisi wanaume hatupendi wanawake omba omba.ss tunapenda hela hatupend tunajifanya tunakupenda ila kiundani hatuna mapenz nawe kabisa.tunapenda hela ss
Wanaume pia hatupendi Wanawake wenye mindset za Kimaskini,ss tunapenda hela hatupend tunajifanya tunakupenda ila kiundani hatuna mapenz nawe kabisa.tunapenda hela ss
We ni mkweli,na msema kweli mpenzi wa Munguss tunapenda hela hatupend tunajifanya tunakupenda ila kiundani hatuna mapenz nawe kabisa.tunapenda hela ss
Na wewe uko hivyo?Au sio
Umemaliza MKUUNa sisi wanaume hatupendi wanawake omba omba.
Tunajua hamtupendi ila mna tamaa na hela zetu, ndi maana na sisi hatuwapi hizo hela.
Yes.Before you call a man broke, make sure your private part is not your source of income.
Kumbe mchicha mwibaKwa msiojua hili ni jikedume limekua Ke ghafla bin vuu lilikua Me majuzi kati tu hapa, inasikitisha.
Kabla sijajibu naomba kwanza kujua mwanaume asiye na hela ndio yupi? Ili uhesabike una hela zinatakiwa zianzie ngapiNa wewe uko hivyo?
Kauli ya mwanaume asiye na hela inabaki kuwa hisia tu, si hoja.Kabla sijajibu naomba kwanza kujua mwanaume asiye na hela ndio yupi? Ili uhesabike una hela zinatakiwa zianzie ngapi
Nina imani weww ni mwanaumess tunapenda hela hatupend tunajifanya tunakupenda ila kiundani hatuna mapenz nawe kabisa.tunapenda hela ss
Sijui kidume anaanzaje kujiita binti, hovyo sana wazazi wake wamefeli majukumu yao.Kumbe mchicha mwiba
Kazi kweli kweliSijui kidume anaanzaje kujiita binti, hovyo sana wazazi wake wamefeli majukumu yao.
Na Kuna program Mungu akitusaidia tutaziandaa strategically,ss tunapenda hela hatupend tunajifanya tunakupenda ila kiundani hatuna mapenz nawe kabisa.tunapenda hela ss