Wanawake hatupendi wanaume ambao hawana hela!

Wanawake hatupendi wanaume ambao hawana hela!

Kabla sijajibu naomba kwanza kujua mwanaume asiye na hela ndio yupi? Ili uhesabike una hela zinatakiwa zianzie ngapi
Humu wote wanasema wana hela na hawapendi wanawake maomba omba mkuu
5A322FC2-07B3-4827-99BA-E25EC000651D.jpeg
 
Sidhan .
Sasa mtu wako unampendeaje hela?.
hapo unakuwa unapenda hela na sio mtu. Kwahiyo utatamani kila aliye na hela uwe nae. Na ndio umalaya huo.

Mpende mwanaume wako.
chaguo lako. Akiwa na hela au asipokuwa nazo inshallah.
Zote kudra.

Ila kupenda hela. Kesho akitokea mwenye hela zaidi utampenda.
Ni umalaya.
Hilo la umalaya unalijua wewe ila huo ndio ukweli, ukipendewa hela siku zikiisha huna chako
 
Na Kuna program Mungu akitusaidia tutaziandaa strategically,

Tutahakikisha at least 70% ya Wanaume tunabadilisha mitazamo

Nakuhakikishia poor minded women will suffer,
Hakutakuwa na huruma Wala ndoa Kwa mwanamke mpumbavu.

Abundant mindset to men's
Muelekeo Kwa Wanaume Utakuwa ni kuongeza Value zao Tu.
Mnaziandaa wewe na nani? Na mkiwa wapi?
 
Sisi tunapenda hela hatupend tunajifanya tunakupenda ila kiundani hatuna mapenz nawe kabisa.tunapenda hela sasa
hii ni dalili umetoka katika familia ambayo baba hana pesa maana angekuwa nazo angekuwekea msingi wa wewe kuwa nazo ili usitamani za mtu mwingine.....lkn una uhakika kila mwanamke ana akili kama zako?
 
Back
Top Bottom