Wanawake hatupendi wanaume ambao hawana hela!

Wanawake hatupendi wanaume ambao hawana hela!

Sidhan .
Sasa mtu wako unampendeaje hela?.
hapo unakuwa unapenda hela na sio mtu. Kwahiyo utatamani kila aliye na hela uwe nae. Na ndio umalaya huo.

Mpende mwanaume wako.
chaguo lako. Akiwa na hela au asipokuwa nazo inshallah.
Zote kudra.

Ila kupenda hela. Kesho akitokea mwenye hela zaidi utampenda.
Ni umalaya.

Na tunajua wanaotupenda na ndio hao hao hata tukipata hela tunazipeleka.

Hawa wa nje wanaopenda hela ni kuwalomba, kuzalisha na kuwaacha. Alafu uone nani mjanja kati yako ww na mwanaume.
Men are just selfish
Siku izi ata hatuwabebei mimba kaka tuliacha
 
Men are just selfish
Siku izi ata hatuwabebei mimba kaka tuliacha
Men are just selfish? 😂 Please, women can be professionally selfish. And if we want someone to carry our babies, we don’t just pick anyone we marry a woman who knows exactly what she’s signing up for. 😏😂
 
Back
Top Bottom