Wanawake hatupendi wanaume ambao hawana hela!

Wanawake hatupendi wanaume ambao hawana hela!

Sisi tunapenda hela hatupend tunajifanya tunakupenda ila kiundani hatuna mapenz nawe kabisa.tunapenda hela sasa
the same to men, ndio maana ukienda uswahilini kuna washichana wazuri , tena wa kimanga rangi ya mtume wamezalishwa hawana ndoa, lakini wenye hela unawaona ni wakurugenzi wa mabenki na wameolewa.
 
Wanaume na sisi tunapenda sana pesa zetu sikuhizi.
Wanawake washajimilikisha kuwa wao wanatakiwa wapewe kila kitu na wanaume.

Wanakosea.
Mwanamke anatakiwa apewe kila kitu na mwanaume wake.
Na Kama sio Mwanaume wako. Balance shobo. Na pambana na hali yako.

Binafsi sioni shida kuhudumia Mwanamke wangu na watoto. Ni jukumu langu.

Lakini eti kisa ww mwanamke na tumekutana tu uanze, we Kaka naomba ninunulie hiki au hiki. Mm Sinunui. Wacha unione bahili. 😊😊😊
kwanza ndio itanisaidia haswaa.
 
Wanawake washajimilikisha kuwa wao wanatakiwa wapewe kila kitu na wanaume.

Wanakosea.
Mwanamke anatakiwa apewe kila kitu na mwanaume wake.
Na Kama sio Mwanaume wako. Balance shobo. Na pambana na hali yako.

Binafsi sioni shida kuhudumia Mwanamke wangu na watoto. Ni jukumu langu.

Lakini eti kisa ww mwanamke na tumekutana tu uanze, we Kaka naomba ninunulie hiki au hiki. Mm Sinunui. Wacha unione bahili. 😊😊😊
kwanza ndio itanisaidia haswaa.
Mawazo ya mwaka wa mbele
 
Wanawake washajimilikisha kuwa wao wanatakiwa wapewe kila kitu na wanaume.

Wanakosea.
Mwanamke anatakiwa apewe kila kitu na mwanaume wake.
Na Kama sio Mwanaume wako. Balance shobo. Na pambana na hali yako.

Binafsi sioni shida kuhudumia Mwanamke wangu na watoto. Ni jukumu langu.

Lakini eti kisa ww mwanamke na tumekutana tu uanze, we Kaka naomba ninunulie hiki au hiki. Mm Sinunui. Wacha unione bahili. 😊😊😊
kwanza ndio itanisaidia haswaa.
Hata yeye amemaanisha mwanaume wake
 
Hata yeye amemaanisha mwanaume wake
Sidhan .
Sasa mtu wako unampendeaje hela?.
hapo unakuwa unapenda hela na sio mtu. Kwahiyo utatamani kila aliye na hela uwe nae. Na ndio umalaya huo.

Mpende mwanaume wako.
chaguo lako. Akiwa na hela au asipokuwa nazo inshallah.
Zote kudra.

Ila kupenda hela. Kesho akitokea mwenye hela zaidi utampenda.
Ni umalaya.

Na tunajua wanaotupenda na ndio hao hao hata tukipata hela tunazipeleka.

Hawa wa nje wanaopenda hela ni kuwalomba, kuzalisha na kuwaacha. Alafu uone nani mjanja kati yako ww na mwanaume.
 
Back
Top Bottom