Kama ingekuwa ni hivyo msingekuwa na malalamiko ya kuwa hamridhishwi kwenye tendoHiyo hata machokoraa wanafanya
Kama ingekuwa ni hivyo msingekuwa na malalamiko ya kuwa hamridhishwi kwenye tendoHiyo hata machokoraa wanafanya
Tatizo wapeleka moto nao apeche alolo😅Kama ingekuwa ni hivyo msingekuwa na malalamiko ya kuwa hamridhishwi kwenye tendo
Kama ni hivyo kwanini msitafute hela zenu Kwanza hela wanaume ziwe za ziadaTatizo wapeleka moto nao apeche alolo😅
Tunatafuta ndio na za kwenu tunazitaka😁Kama ni hivyo kwanini msitafute hela zenu Kwanza hela wanaume ziwe za ziada
Kaka mwanao huyo, usimkataeNdo Vishu Mtata alivyokuambia ukija huku useme hvo...
Kama mna za kwenu kwanini mnalilia mpewe kila kitu na mwanaume?Tunatafuta ndio na za kwenu tunazitaka😁
Dalili namba moja ya mwanamke malaya ni kuingia kwenye uhusiano kwa sababu ya pesa alizonazo mwanaume, ni umalaya 100% sawa na wale roadside prostitutes ambao kabla ya kusalimiana mna-bargain bei ya kuzini kwamba short-time ni Shilingi ngapi na overnight ni Shilingi ngapi.Sisi tunapenda hela, hatupendi tunajifanya tunakupenda ila kiundani hatuna mapenzi nawe kabisa.
Tunapenda hela sasa
Ni nature hiyo usiongane nayo!Kama mna za kwenu kwanini mnalilia mpewe kila kitu na mwanaume?
😂😂😂Yani mara hii ushakuwa mwanamke mpenda hela juzi tuu si ulikua mwanaume wewe...daah dunia inaenda kasi sana