Khantwe
JF-Expert Member
- Dec 20, 2012
- 61,176
- 124,828
Zamani nilikuwa nafikiria kama wewe, nilikuwa nashangaa kwa nini mtu afunge? Ina maana hajui kusema hapana? Ila baadae nimekuja kuelewa, PM haiendi mitongozo tu
Kutokujielewa na kutokujitambua ndio maana wana-lock pm; kama jibu ni ndio ni ndio tu na kama ni hapana ni hapana tu