katoto kazuri
JF-Expert Member
- Feb 10, 2018
- 6,126
- 5,758
Hahahahahahuyu dada huwa cjui anafikiriaga nini anapocomment au kupost thread



kivipi??Hahahahahahuyu dada huwa cjui anafikiriaga nini anapocomment au kupost thread



kivipi??mbona nimeshajieleza au summary haitoshi unataka notes kabisa!Kivipi jielezee
Ila kuna?kaukwelimbona nimeshajieleza au summary haitoshi unataka notes kabisa!
kwangu kuna kaukweli cjui wewe main characterIla kuna?kaukweli
😂😂😂 naona unatoa muongozoHapa hapa jukwaani, kuna swaga lazima utumie kuomba unlock.
Kama vile unavyomwomba msogee pembeni umwambie jambo kama hapo mlipo kuna watu.
😂😂😂 naona unatoa muongozo
Hahah! Naelewa mkuuLigi zimeisha, kwa hiyo tunajikuta news hakuna. Inabidi kuzunguka tu humu.
Hahah! Wanadamu hawaridhikiKuna kipindi wadada wengi walifungua PM zao mweee JF ilifurika kwa Threads za kuwasimanga wenye PM wazi mara bei imeshuka oooh wamefulia,hawana jipya,namba zinasomeka,wanatafuta wateja.
PM zimefungwa here u a na gazeti lako la kizungu.
Wewe wasema!!!?Kufunga pm ni kutojiamini tu
Haya,but you never know mtu ana ujumbe gani,sio kila unachoambiwa lazima ukiconside ,Wewe wasema!!!?
Sawa tumeelewaHaya,but you never know mtu ana ujumbe gani,sio kila unachoambiwa lazima ukiconside ,
Sawa tumeelewa
Naomba unifungulie mimi tu ili nieleze yaliyo moyoni mwangu.Tunafunga pm kwa sababu Kuna watu wengine wamezidi mtu kila siku anakuja pm kukusalimia kama ibada vile... Asubuhi.. Mchana na jioni kila siku na hasemi anataka nini ili kama inawezekana apate haiwezekani apite kushoto.... Sasa usumbufu huo kwa kweli bora tufunge....... Wengine wanakuja na Ile miandiko ya x na y kwa kweli hii nayo ni sababu ya kufunga....
Asante