SK2016
JF-Expert Member
- Apr 6, 2017
- 8,077
- 13,937
Vizuri na hongera sana pia.
Na mme saivi niko double
Tokea mwaka jana na mme sema hatujaoana ila yupogi tu
Na mme saivi niko double
Tokea mwaka jana na mme sema hatujaoana ila yupogi tu
Kweli basi naomba unielekezeeKuna Opts nyingi, kama member msumbufu una muweka ignore list! Kufunga PM sababu ya mtu msumbufu ni kutojitendea haki.
Maringo ni mabaya nimeamua kukubali tu ila kwani nimeolewa?Vizuri na hongera sana pia.
mbona wanafungua tuKama una nia na unasomeka, mlengwa atakufungulia tu.
Acha waendelee kufunga kuepuka usumbufu.
Hii inawezekana kwa wale wenye muda wa kutosha kuwapo hapa Jukwaani.
Kwa wale wasoma Comments kama mmi, ni ngumu kidogo.
Nani kakufungulia?🙄mbona wanafungua tu
Hahaha hata wew umefunga inamaana hujafika 28+?Miaka ikifika 28+ wataziachia tuu.
Nilifungua nikakaa mwaka mzima sijapata pm hata moja nikajisikia vibaya.Hahaha hata wew umefunga inamaana hujafika 28+?
Nafasi ipi?
mbona wanafungua tu
Hahaha nipm tutetee kidogo kabla December haijafika tukakutana moshi hahahahaNilifungua nikakaa mwaka mzima sijapata pm hata moja nikajisikia vibaya.
Unabii wako Don unaenda kutimia.Kama una nia na unasomeka, mlengwa atakufungulia tu.
Acha waendelee kufunga kuepuka usumbufu.
Kila anayebisha , huwa anafunguliwa mlango.Hahaha nipm tutetee kidogo kabla December haijafika tukakutana moshi hahahaha
Hahahaha wewe hapana aiseeUnabii wako Don unaenda kutimia.Kila anayebisha , huwa anafunguliwa mlango.





Halafu hizi ID mpya huku unaonekana wazi wa siku nyingi hamna mtu atahangaika na PM zako, kuchorana sio vizuri.




