Tresor Mandala
JF-Expert Member
- Aug 20, 2010
- 45,677
- 96,537
HahahahaSio kujipandisha dau,kuna pm nyingine zinakuja za watoto wa kindagate zinatuvunjia heshima.
MTC | 101| [emoji769]
HahahahaSio kujipandisha dau,kuna pm nyingine zinakuja za watoto wa kindagate zinatuvunjia heshima.
Mimi namchora tu.....huyu anapiga cross halafu anaenda kufunga yeye!
Hahahaha, wazee wenzangu tusifanyiane hiviMzee wa VAR huyo, penalty anajitengea mwenyewe!
PM-Private Msg DM-Direct Msg[emoji23]Na mm na ushamba wang mnanisaidiaje is pm a dm or inbox which i know au kuna kitu kingine
Hahahaha, ndio hujaona?
Muda wa kufanya hayo yote ili at the end akuje mwenyewe PM. Ama hunting to be hunted game huitaji muda?
Hahahaha, mie Nina ID hii hii kongwe,mwaka wa kumi huu JF
Mbn nimekuja umefunga bado
MTC | 101| [emoji769]
Hapo sawa kaka ake....uko na akili nyingi sana ndiyo maana nakupendagaHahahaha hatuonani siku hzi!!!!Ila mimi na wewe tunajua pa kukutana nikiwa na jambo langu nitakupa code tu.
Hahahaha, Mkuu mbn umeguna?Mmmh!
Halafu, ukionana nao huwezi amini kwanini hufunga PM, wakati ilitakiwa iwe wazi ili kujitafutia bahati.Kufunga PM ni kujipandisha dau, yaani utambue kuwa anasumbuliwa sana! Ila wengine ID na avatar za kike ila sio wakike.
ID moja tuu miaka yote hiyo?Hahahaha, mie Nina ID hii hii kongwe,mwaka wa kumi huu JF
Mbn nimekuja umefunga bado
MTC | 101| [emoji769]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Naona mdogo wangu cute b anaingizwa kibla asubuhi sana.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hapa nilikuwa naanza kwenda kusoma siredi zake nionee kama nifungue pm au lah
Hahaha wewe unatafuta sababu ya kuja pm kwangu.Hahaha, nifungulie basi nije tumjadili mtu chake.
Kumbe nawe umefunga pm best[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hapa nilikuwa naanza kwenda kusoma siredi zake nionee kama nifungue pm au lah
Hahaha wewe unatafuta sababu ya kuja pm kwangu.
Sikufungulii[emoji23][emoji23]
Nimefunga leo baada ya kuona kila mtu kafunga.Kumbe nawe umefunga pm best
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]