Wanawake funguenu PM, tunapata tabu!

Wanawake funguenu PM, tunapata tabu!

Hii ipo sana humu JF unakuta mdada ni wa kawaida ila anavyojiweka utaogopa, fanya kuomba appointment nae utachoka kabisa hizi ID's zinaficha mengi mkuu..

Wazuri wapo sikatai ila more than 90% ni wa kawaida mno mno...
Msalimie kaka ako
 
shida ni kwamba haji mmoja mmoja..utajipa kazi ya kushinda pm mbona..yani JF ukifungua ni PM kwanza

Unashindaje pm. kwangu mimi kuna muda wa kazi. kuna muda wa personal ishues na kuna muda wa kuingia kwenye social network.....watajibiwa kwa muda huwo, ukiisha hujajibiwa utasubiri....hata hivyo sidhani km mtu anaweza akago mad kabisa amiminike pm kisa mwanya. SIJUIII
 
Unashindaje pm. kwangu mimi kuna muda wa kazi. kuna muda wa personal ishues na kuna muda wa kuingia kwenye social network.....watajibiwa kwa muda huwo, ukiisha hujajibiwa utasubiri....hata hivyo sidhani km mtu anaweza akago mad kabisa amiminike pm kisa mwanya. SIJUIII
Hahahaha
 
Ladies,

Virtually all men suffer from the same problem. Sexual attraction isn’t something to be ashamed of nor something to attempt to control. Your body wants things, and the only question is whether or not it is wise for you to actually pursue those things.

Trying to smother your desires is truly foolish, however.

Any way, I’ve been trying online dating for a year or so now. I sent my first message nervously, wondering what reply might come back and was slightly surprised! Every thing went just perfect!!

I carefully read every profile and posts before choosing which member to PM, then send them a message responding to the information they’ve provided and asking them questions to find out more abt them.

Tatizo ni moja!! Wadada karibu wote wanivutiao hapa, hasa MMU Wame Lock PM zao.

I’m entirely stuck now!!

Tafadhali Ladies Unlock Your PMs. Mnatupa Tabu!!




View attachment 1104564
Toka nijiunge jf cjawah pm kiumbe chochote Cha kike labda nijaribu leo
 
Back
Top Bottom