Nas Jr
JF-Expert Member
- May 15, 2018
- 7,918
- 8,712
Na mme saivi niko double
Kuna swali umejibu au unatupa taarifa..???
Na mme saivi niko double
Tokea mwaka jana na mme sema hatujaoana ila yupogi tuKuna swali umejibu au unatupa taarifa..???
Hapa hapa jukwaani, kuna swaga lazima utumie kuomba unlock.
Kama vile unavyomwomba msogee pembeni umwambie jambo kama hapo mlipo kuna watu.
Kweli wanaume tuna huruma.Na mme saivi niko double
[emoji23][emoji23][emoji23]hivi wanaume walivyo wachache watu wanafungaje pm jamani.
Tokea mwaka jana na mme sema hatujaoana ila yupogi tu
Usumbufu bahna pm wanakuja kama 25 kwa siku ai wewe ni vodashop[emoji23][emoji23][emoji23]hivi wanaume walivyo wachache watu wanafungaje pm jamani.
Nafasi ipi?so nafasi ipo wazi au ni vipi..??
Na wewe kumbe umo? Hebu tuambie kwanini mnafunga?[emoji23][emoji23][emoji23]hivi wanaume walivyo wachache watu wanafungaje pm jamani.
Kweli...Kufunga PM ni kujipandisha dau, yaani utambue kuwa anasumbuliwa sana! Ila wengine ID na avatar za kike ila sio wakike.
Basi una raha, Mimi pm yangu hadi inaota nyasi.Usumbufu bahna pm wanakuja kama 25 kwa siku ai wewe ni vodashop
Mimi sijafunga pm, huwa unapita pm yangu kama huioni yaani.Na wewe kumbe umo? Hebu tuambie kwanini mnafunga?
Mimi napata 25 per day pm yangu inajaaga kama niniJF inapanuka. Tunapata access mahali pote Duniani.
Kuzipuuza/kubeza ID mpya ni kutoitakia mema JF.
Do not judge too quickly
Nimeshangaa sana[emoji23][emoji23][emoji23]hivi wanaume walivyo wachache watu wanafungaje pm jamani.
Mimi sijafunga pm, huwa unapita pm yangu kama huioni yaani.
Miaka ikifika 28+ wataziachia tuu.Nimeshangaa sana
Hee basi nilikorokocha bila kujua.
Duh unauliza makofi polisi?Hee basi nilikorokocha bila kujua.
Ngoja nikaifungue nifanye majaribio kwa kukupm wewe.
Naruhusiwa?