Tresor Mandala
JF-Expert Member
- Aug 20, 2010
- 43,253
- 90,457
HahahahaMaisha mafupi, cheka mwaya
HahahahaMaisha mafupi, cheka mwaya
Nafurahi tu ,mambo ya humuMbona wacheka sheikh?
Hahahaha, nani sasa kaharibu
Hahahaha, Fanya hivyoHapo ndiyo sijaelewa nini kimenikwamisha.
Ngoja nijipange upya.
Ndiyo, siwezi kufungia Neema njeeyako ipo wazi?![]()
TugawieniiiWapi huko walipo wachache.
Watu wanamiliki wanne wanne huku.
Hahahaha, mbn kila nikija nakuta kufuliNdiyo, siwezi kufungia Neema njee
Daaah lipo wapi nilikimbilieTabia mbaya iyo na unapishana na gari la mshahara
Ngoja nikupm Mimi, inaonekana umeshazeeka hadi kutumia pm huweziHahahaha, mbn kila nikija nakuta kufuli
Hahahaha, hii usemalo la uzee inawezekanaNgoja nikupm Mimi, inaonekana umeshazeeka hadi kutumia pm huwezi
Hahahaha, Fanya hivyo tuoneNgoja nikupm Mimi, inaonekana umeshazeeka hadi kutumia pm huwezi
Nafurahi tu ,mambo ya humu
Here comes the man himself!
Nothing serious, we just have a folk who can't shoot properly and keeps whining!Not following. Tunaongelea nini hapa?





Wanasemaga hao wanaume wa dar...sisi wa mikoani huwezi kutuskia hata siku moja...unlock ur pm plizzNyie si ndio mnasemaga wadada wa Jf scraper, mara wabaya eti sijui wamechoka leo mnalia na PM zao za nini? Wanaume hakuna siku nitakuja kuwaelewa
Mimi sijawahi kufungaWanasemaga hao wanaume wa dar...sisi wa mikoani huwezi kutuskia hata siku moja...unlock ur pm plizz
Anhaa kumbe..nitakuja kuomba ujiraniMimi sijawahi kufunga