Wanawake funguenu PM, tunapata tabu!

Wanawake funguenu PM, tunapata tabu!

Hii ipo sana humu JF unakuta mdada ni wa kawaida ila anavyojiweka utaogopa, fanya kuomba appointment nae utachoka kabisa hizi ID's zinaficha mengi mkuu..

Wazuri wapo sikatai ila more than 90% ni wa kawaida mno mno...
Hivi hata mtu ukiwa ni mbaya ndiyo ujirahisishe rahisishe? Ushindwe kujikubali mwenyewe na kuishi maisha unayoyataka?
Kila mtu ni mzuri kama siyo kwako ni kwa wengine.
 
Fungeni hivyo hivyo maana ndio pona yetu sisi tusojua kukaa na kiungulia..tusione mwandiko mzuri tyr Sura tushaijua Na pm tumekuja..sasa tunapokutana na Kufuli inakua AFADHALI kdg.
 
Back
Top Bottom