Wanaume

Wanaume

Hapana sipati per day , Kiufupi mimi sina familia niko tu mwenyewe 🤣🤣matumizi yangu ni madogo ,vile vile nafanya kazi usiku na mchana ...Kwa mwez naweza kupumzika siku 2 zilizobaki zote napiga kazi .
Mh kivip unapiga mishe za mtaani baada ya saa tisa au
 
walet sio nzuri ni shawahi kupoteza hela kwenye wallet sita sahau nahisi ilidondoka au ilichomolewa 300000/= zilienda
Una wallet ina laki 3 halafu unapanda mwendokasi lazima uchomolewe, mkuu nunua gari..!! 😹
 
Nyie wote hamna pesa, hata card zenu za bank zinajaa kipindi cha boom sasa wallet ya kazi gani??

Nida na elfu 5 wallet ya kazi gani? 😹
Maonesho tu kuwa tunayo na sisi
 
Mimi mwamvuli nasahau Sana miamvuli balaa. Huwaga supendelei kutembea na mwamvuli kukiwa na mvua maana nasahaugi Sana.

Kuwa na wallet ni u GENTLEMAN 😊 ma gentleman wotee huwaga hawakosi wallet.

Cc. Tlaatlaah
Unatembea na mwamvuli kwenda nao wapi tena? Si tumekubliana wote humu tuna magari 😹😹😹
 
Back
Top Bottom