Tanganian
JF-Expert Member
- Jan 27, 2025
- 5,475
- 9,378
Kwa sababu nafanya ujenzi na pia ni mtu wa dili ....Naweza kutoka Mil 2 ,nikapoteq hata miezi mitatu nisifike bank wala kutumia ATM , mshahara unaingia tu ila sitoi .Mh unakaaje na pesa nyingi ivyo tena ndani?