Wanaume

Wanaume

Binafsi Wellet ilinishinda,naishika kuiweka kwenye gari tu,kwaajili ya kuhifadhi cards

Nikikaa sana kwenye kiti naumia makalio nq mgongo nikienda kanisani au kufanya manunuzi bora niweke mfuko wa mbele na inakuwa slim sana.
Kweli kabisa hii imekaa sawa
 
Niliacha kutembea na wallet nilipopoteza moja ikiwa na kadi zangu muhimu sana na hela nyingi sintosahau hadi leo
Ni zaidi ya miaka 5
Ninazo wallet napewa zawadi ila sizitumii
Simu yangu ndio kila kitu vitambulisho vyangu muhimu nimevisevu kwenye simu fedha za matumizi kwenye simu
Nawashangaa vijana wa siku hizi ana wallet imetuna nasikia wengine wanajaza hata makaratasi wanaona sifa
 
Kwa sababu nafanya ujenzi na pia ni mtu wa dili ....Naweza kutoka Mil 2 ,nikapoteq hata miezi mitatu nisifike bank wala kutumia ATM , mshahara unaingia tu ila sitoi .
Mbona kama unatupanga upo sekta gani hiyo boss unitafutie kazi
 
Niliacha kutembea na wallet nilipopoteza moja ikiwa na kadi zangu muhimu sana na hela nyingi sintosahau hadi leo
Ni zaidi ya miaka 5
Ninazo wallet napewa zawadi ila sizitumii
Simu yangu ndio kila kitu vitambulisho vyangu muhimu nimevisevu kwenye simu fedha za matumizi kwenye simu
Nawashangaa vijana wa siku hizi ana wallet imetuna nasikia wengine wanajaza hata makaratasi wanaona sifa
Safi kabisa mimi pia natumia hiyo kuna siku nilikuwa navuka kigamboni nafika pale getin na waonesha kitambulisho kwenye simu et waanashangaa why utembei nacho nikawapiga jicho nikapita hivi
 
Wallet inapendeza na inarahisisha maisha, ukifika sehemu ya kukaa unaitoa mfuko wa nyuma unaiweka mfuko wa mbele au mezani kulingana na mazingira, inasaidia kupangilia pesa na vitu vingine kama cards; pia kuingiza mikono mfukoni na kutoa kila mara huchafua Jeans na jeans zinafuliwa mara moja kwa mwezi hivyo lazima niwe na wallet kuepusha hilo,

kuweka pesa na vitu ambavyo vingekaa kwa Wallet mfukoni sio vibaya ila ukiwa na Wallet ni vizuri zaidi na inaonesha ni namna gani unaweza kupangilia vitu vingine kwenye maisha tofauti na pesa unazotembea nazo
20250505_180634.jpg
 
Hata wataalamu wa Afya hawaruhusu kuweka wallet mfuko wa nyuma kwa wanao kaa sana kwenye viti ofisini.

Inaharibu mgongo.
Kumbe sasa kama kazi zako ni zakusimama mda mrefu kama mwalimu
 
Wallet inapendeza na inarahisisha maisha, ukifika sehemu ya kukaa unaitoa mfuko wa nyuma unaiweka mfuko wa mbele au mezani kulingana na mazingira, inasaidia kupangilia pesa na vitu vingine kama cards; kuweka pesa na vitu ambavyo vingekaa kwa Wallet mfukoni sio vibaya ila ukiwa na Wallet ni vizuri zaidi na inaonesha ni namna gani unaweza kupangilia vitu vingine kwenye maisha tofauti na pesa unazotembea nazo
Hapana bhna now ni smu tu
 
Mh ase upo pazuri sana paka nakuonea wivu 2m unapata kazini per day mshahara inakutana duh
Hapana sipati per day , Kiufupi mimi sina familia niko tu mwenyewe 🤣🤣matumizi yangu ni madogo ,vile vile nafanya kazi usiku na mchana ...Kwa mwez naweza kupumzika siku 2 zilizobaki zote napiga kazi .
 
Back
Top Bottom