Mkuu, tembea ujionee nenda huko duniani moja ya kuonesha upo civilized unapo fanya cash payment unapo toa wallet unaonyesha ume be CIVILIZEDDuh nilishawai sahau mwamvuli wa watu niliufwata chap
Ila hiyo ya wallet ni mtazamo wako tu
Imekaa poaSijawahi kuwa na wallet sana hela zitakaa mfuko wa nyuma hata iwe shngp au nitumie simbanking nadhani kwangu inatosha
Utembea nayo kama mkonoWallet niliibiwa lakin siku hizi siachi.
Na kondomu ipo kwenye wallet 😂Unakuta mtu wallet ina vitambulisho kibao afu anatembea navyo tu mara hadi viwembe vimo
Mh mimi hapana hiyo noMi nabeba wallet tangu nianze Form 1. Sijawahi kuzipoteza. Mara kadhaa nilizoweka pesa mfukoni, niliishia kupoteza zingine. So, mimi na wallet milele.
Naam mzungu wa dollariImekaa poa
Huwa na scan au na chanja kadi inatgemea na nipo wapiMkuu, tembea ujionee nenda huko duniani moja ya kuonesha upo civilized unapo fanya cash payment unapo toa wallet unaonyesha ume be CIVILIZED
Kwa Sasa ni kuwa na wallet japo kwa Sasa dunia ime enda mbele Sana Sana kiasi kwamba huitajiki kua na wallet maana Kuna wallet nyingi za ki digital.
Ahahah hii ngeni naisikia kwako mbonakwa afya ya mgongo haishauriwi kukaa na wallet mfuko wa nyuma
Aahh ngoja nikutafitie uwe una tembea nazoNaam mzungu wa dollari
Ndio nini power bank au una maanisha kondomu?Wengine wamebeba vyura kwenye hizo wallet. Au zinaitwa power bank . Ulinzi muhimu
Ndio natembea nayoUtembea nayo kama mkono
Tupo hapahapa kigogo na tabata tumia simu au card ya bankHee basi nipo nyuma ya wakati kumbe wanaume siku hizi hawatumii wallet...Nyie mnaosema Wallet ni ushamba mpo Tz hii hii au ndio Diaspora.
Mh hongera mimi lazima niangusheNdio natembea nayo
Hiyo ya wallet hata mm imenishinda. Yaani naonaga kama usimbufu mara nifungue wallet ndo nitoe pesa au kitambulisho.Hivi ni mimi tu ndio nashindwa kutembea na 🪪 wallet au nikitembea na wallet basi nita sahau pahala au nitaangusha naona kubeba wallet naona kama ni shida fulani nimeenda nishazoea sasa vitambulisho pesa naweka kwenye mfumo wa jeans imepita hivi sitembei kabisa na wallet hili swala limenishinda kabisa
Kutembea bila kuweka mikono mfukoni sio yote no mkono mmoja lazima niweke mfukoni hii nayo siwezi acha ni kitu imenishinda kabisa kuacha naona ni mazoea
Je ni kwangu tu au
Hahahaha unazingua ujue 😂😂Aahh ngoja nikutafitie uwe una tembea nazo