Mpaji Mungu
JF-Expert Member
- Apr 24, 2023
- 15,745
- 50,143
Mi nikiwa na wallet naona hata hesabu za hela hazipotei kirahis kichwaniDuh kwahiyo huwezi tembea bila wallet
Mi nikiwa na wallet naona hata hesabu za hela hazipotei kirahis kichwaniDuh kwahiyo huwezi tembea bila wallet
Huna pesa kwendraaa hukooo… 😹🤣🤣Sijawahi kuwa na wallet sana hela zitakaa mfuko wa nyuma hata iwe shngp au nitumie simbanking nadhani kwangu inatosha
Bora umemkumbushaUnatembea na mwamvuli kwenda nao wapi tena? Si tumekubliana wote humu tuna magari 😹😹😹
😹😹😹 Mwisho wajikate bure na topazUnakuta mtu wallet ina vitambulisho kibao afu anatembea navyo tu mara hadi viwembe vimo
Sema mwanangu watu wa zamani waliteseka sana imagine unatumia topaz kufeka pori la akiba😹😹😹 Mwisho wajikate bure na topaz
Tajiri huna baya 😂 😂 vipi ndg yangu hajambo secretarybirdHuna pesa kwendraaa hukooo… 😹🤣🤣
Na kwenye simu zinapotea?Mi nikiwa na wallet naona hata hesabu za hela hazipotei kirahis kichwani
hili la hela kupotea umelitoa kwenye comment yangu?Na kwenye simu zinapotea?
Yaani mimi nishagombana na traffic mmoja eti alikuwa anataka leseni nikamwambia leseni hiyo namba hiyo akalalamika baadae akanirudishia simu akaniambia wewe nendaSafi kabisa mimi pia natumia hiyo kuna siku nilikuwa navuka kigamboni nafika pale getin na waonesha kitambulisho kwenye simu et waanashangaa why utembei nacho nikawapiga jicho nikapita hivi
kabisa mkuu sioni umuhimu wa waleti. ,maana kuna digital walet za uhakika kama tigo pesa ,mpesa n.kDuh kwhy tangu hapo umeacha kabisa kutumia?
Ndiohili la hela kupotea umelitoa kwenye comment yangu?
kabisa mkuu sioni umuhimu wa waleti. ,maana kuna digital walet za uhakika kama tigo pesa ,mpesa n.kDuh kwhy tangu hapo umeacha kabisa kutumia?
labda alikuwa na matatizo ya machoYaani mimi nishagombana na traffic mmoja eti alikuwa anataka leseni nikamwambia leseni hiyo namba hiyo akalalamika baadae akanirudishia simu akaniambia wewe nenda
Kwaio gari inaingia nalo Hadi kwenye bajaji ama daladala msimu huu wa mvua za masika😊☺️😁Unatembea na mwamvuli kwenda nao wapi tena? Si tumekubliana wote humu tuna magari 😹😹😹
Ahahah inatulia ukotupo wengi mkuu... wallet yangu ipo ndani zaidi ya miaka 7 sasa...
Kabisa tena now ukilipia kwenye simu inakuwa unyama sanakabisa mkuu sioni umuhimu wa waleti. ,maana kuna digital walet za uhakika kama tigo pesa ,mpesa n.k
Mwambie nampenda labda ataelewa.Tajiri huna baya 😂 😂 vipi ndg yangu hajambo secretarybird
Maana yangu ni kwamba nikiweka hela kwenye wallet nagawa kutokana na matumizi ya siku hapo nauli msosi 'kilinda mfuko' na hela ya akiba lkn kama sina wallet ntazigroup vipi?Ndio
Lamomy unapendwa na ndege wa kiotaniMwambie nampenda labda ataelewa.