Adverse Effect
JF-Expert Member
- Oct 8, 2017
- 3,518
- 8,967
Angalia usije ukapata Lumbago sababu ya wallet. Wallet na saa ya mkononi vilinishinda kabisa.
Ohh kumbe hapo nimekupataMaana yangu ni kwamba nikiweka hela kwenye wallet nagawa kutokana na matumizi ya siku hapo nauli msosi 'kilinda mfuko' na hela ya akiba lkn kama sina wallet ntazigroup vipi?
Woyoo! woyoo! woyoo!!Lamomy unapendwa na ndege wa kiotani
Saa pia imenishinda navaa siku moja moja sanaaAngalia usije ukapata Lumbago sababu ya wallet. Wallet na saa ya mkononi vilinishinda kabisa.
Pete pia changamoto kuivaa muda mrefuSaa pia imenishinda navaa siku moja moja sanaa
Aseeh ni htree kamatia toto la kikinga Hilo 😋Woyoo! woyoo! woyoo!!
Hivi miamvumu huwaga na nini??😃😅,.Mimi mwamvuli nasahau Sana miamvuli balaa. Huwaga supendelei kutembea na mwamvuli kukiwa na mvua maana nasahaugi Sana.
Kuwa na wallet ni u GENTLEMAN 😊 ma gentleman wotee huwaga hawakosi wallet.
Cc. Tlaatlaah
Unikome nishakwambia sitaki utani, hata wewe unaweza kuwa manzi wake..!!😏Tajiri huna baya 😂 😂 vipi ndg yangu hajambo secretarybird
Duuh mbn unakuwa mkali sana MadamNilikukataza hizo habari za kingese naona husikii..!!
Aseeh hapana shaka i gotta you 👊Unikome nishakwambia sitaki utani, hata wewe unaweza manzi wake..!!😏
Wee toka zako kwa maelezo uliyotoa huo mwamvuli unazurula nao 😹😹🤣🤣🤣Kwaio gari inaingia nalo Hadi kwenye bajaji ama daladala msimu huu wa mvua za masika😊☺️😁
Tajiri anafeli 😹🤣🤣Bora umemkumbusha
Pete napenda siwez sahau vaaPete pia changamoto kuivaa muda mrefu
Hapo nilipobold ndo kwenye point 😹😹😹🤣🤣Nije nipoteza kadi ya kura ,kadi ya bima ,funguo ,vitambulisho na pesa kwa wakati mmoja..
Utakuja kulia nyau siku moja. utaibiwa au kupoteza simu, Alafu utakua umepoteza na vitu vingine kibao.Simu yangu ina wallet pembeni naweka hela ya dharura au yakutumia muda ninaotoka plus business card na vitambulisho sinahaja ya kubeba mizigo mingi
Sa si ungeanza kuweka boom 😹😹Mbuyu unaanza kama mchicha.
Kwa keyboard 😹😹😹utapigw