Wanaume wenzangu huwa mnarudi nyumbani saa ngapi?

Trubarg

JF-Expert Member
Jan 8, 2020
4,261
6,908
Mimi maximum saa tano usiku. But most of the time saa moja nipo nyumbani. But napenda wakuta watoto bado hawajalala. Sipendi wife kuwalaza watoto mapema hasa napotoka jioni kuonana ma washikaji.
 
Mwanaume wa kiislamu hatakiwi kuwa nje ya nyumba baada ya swala ya inshaa (saa mbili usiku)

So approximately amefanya uradi, dua...anatakiwa hadi saa mbili na nusu usiku awe nyumbani Kama Hana sababu za msingi like biashara etc.

Na mke ana haki ya kudai talaka na kurudisha mahari na kujivua Kama mume anachelewa kurudi bila sababu.
 
Swala la kurudi nyumbani saa ngapi inategemea na shughuli za mhusika! Mfano fundi ujenzi kaenda kujenga Chanika na anaishi kigamboni, utampangia arudi saa fulani?
Kwahiyo mnaosema saa mbili mjue wengine saa mbili ndiyo muda wa kujiandaa kutoka kazini!
 
Nadhani hapo kuna dhana kuhusu matumizi ya muda. Fikra kichwani ni matumizi mabovu ya muda. Ndio kinachowatesa watu. Lakini hebu tuangalie haya.
Una kazi umemaliza kazi saa 11. U akimbia kwenda kwenye kaduka kako, kanafunga saa 4 usiku. Unaaza kupiga hesabu zi balance saa nzima. Je, utarudi saa 2 usiku?
Una kazi, na ka elimu kidogo, unataka kujiendeleza, unamaliza kazi saa 11 unakimbia chuo, mnamaliza saa 4 usiku. Je, utalala saa 6 usiku?
Una biashara ya baa, unaisimamia mwenyewe. Mpaka wateja waishe saa 6 usiku, je, utalala saa ngapi.
Ninajua kabisa wafanyabiashara wakubwa wanatumia masaa 18 na zaidi macho. Hayo mambo ya kulala saa ngapi ni wale watakaozeeka walalahoi.
Asanteni.
 
Mwanaume unatakiwa uwe UNPREDICTABLE usikaririwe et Baba anarudigi saa 2 usiku au saa 11 jioni. NEVER.

Mwenye akili timamu nafkiri tumeelewana. Na kingine BABA hutakiwi kurudi nyumbani mikono mitupu. Beba hata Mkate watoto wanywe chai asubuh. Au pipi ukikosa vyote.
 
Mwanaume unatakiwa uwe UNPREDICTABLE usikaririwe et Baba anarudigi saa 2 usiku au saa 11 jioni. NEVER.

Mwenye akili timamu nafkiri tumeelewana. Na kingine BABA hutakiwi kurudi nyumbani mikono mitupu. Beba hata Mkate watoto wanywe chai asubuh. Au pipi ukikosa vyote.
Upo sahihi mkuu
 
Nadhani hapo kuna dhana kuhusu matumizi ya muda. Fikra kichwani ni matumizi mabovu ya muda. Ndio kinachowatesa watu. Lakini hebu tuangalie haya.
Una kazi umemaliza kazi saa 11. U akimbia kwenda kwenye kaduka kako, kanafunga saa 4 usiku. Unaaza kupiga hesabu zi balance saa nzima. Je, utarudi saa 2 usiku?
Una kazi, na ka elimu kidogo, unataka kujiendeleza, unamaliza kazi saa 11 unakimbia chuo, mnamaliza saa 4 usiku. Je, utalala saa 6 usiku?
Una biashara ya baa, unaisimamia mwenyewe. Mpaka wateja waishe saa 6 usiku, je, utalala saa ngapi.
Ninajua kabisa wafanyabiashara wakubwa wanatumia masaa 18 na zaidi macho. Hayo mambo ya kulala saa ngapi ni wale watakaozeeka walalahoi.
Asanteni.
Upo sahihi mkuu
 
Back
Top Bottom