Evelyn Salt
Platinum Member
- Jan 5, 2012
- 77,797
- 168,186
Umeona eeeeh maana hawataki kukituliza kifanyio chao kwa mtu mmoja
Kifanyio kinawasha muda wote, kinatembezwa kama hereni za mmachinga
Umeona eeeeh maana hawataki kukituliza kifanyio chao kwa mtu mmoja
Mkuu tujichange tupate 30000 nyengine tupeleke kwa mtaalamu amrogowe mwanaume mwenzetu haa haa haaa haaaKwaiyo na ww umeshiriki kumroga mwanaume mwenzio
Mkuu tujichange tupate 30000 nyengine tupeleke kwa mtaalamu amrogowe mwanaume mwenzetu haa haa haaa haaa
dhambi gani? wewe mtu anakulilia ufanyeje?
Jamen si kaja kutoa tahadhari kwa wanaume na kutupa mbinu wanawake ubaya uko wapi hapo?
Mkuu tujichange tupate 30000 nyengine tupeleke kwa mtaalamu amrogowe mwanaume mwenzetu haa haa haaa haaa
Kifanyio kinawasha muda wote, kinatembezwa kama hereni za mmachinga
Nami mtu akikopa hela ili akaloge ntampa tu tena siidai ha ha ha
Na mtalogwa tu........
Naomba ya kukulogea wewe!...
Hadi uniloge mi ntakuwa nshakutengeneza kisawa sawa huna la kusema zaidi ya "sawa mama" "ndio mama" nikuloge nisikuloge????
Jumamosi ya juzi nikiwa ndani mwangu nafuatilia Bunge, nilisikia hodi ikabidi nikajue ni nani, alikuwa ni Jirani yangu (Binti) ana miaka kama 24-26 hivi, toka nimehamia hapa sijui ana shughuli gani inayomwingizia kipato au inayomfanya aishi hapa mjini, Baada ya kumkaribisha ndani akaanza hivi.
(Jina Langu) samahani, nikamjibu...bila samahani...(Jina lake), nina shida ya sh.30,000/= naomba unisaidie,(kwa kuwa nimezoena nae sana akaanza kunisimulia)
Kuna hawara yake ni doctor hapa Bug...juzi yake alimwambia kuwa "hamtaki tena kuanzia Juzi hiyo" huyo hawara yake ana mke na watoto 3.
Ni yeye (hawara) ndiye anayemlipia kodi ya nyumba, anamsomesha chuo cha Hotel management na ndiye anayemtunza kwa maana ya chakula.
Sasa kodi inaisha mwezi wa kwanza mwakani na ada ya chuo anadaiwa na imebaki sh. 700,000/= na pesa ya kwendea field Zanzibar hana.
Akaniambia kuwa, ...Nimepata mtaalamu (mganga) ameniambia nimpe sh. 30,000/= ili anipe dawa nimvute, (Amchomee) ili kurudisha mawasiliano halafu nyingine atamwekea kwenye chakula au kinywaji ili "akiomba kiasi chochote kile cha pesa apewe"
Sikuwa na iyana ila nimuuliza swali moja, kwa nini usitumie njia ya mazungumzo? akasema nishajaribu sana but hataki! "sasa mimi nitaishije hapa wakati ada nadaiwa, kodi ya nyumba inaisha mwakani"?
Nilimpa sh. 30,000/= akaenda.
Jumapili (jana) huyo hawara yake alisalimu amri yy mwenyewe kwa yeye kuanza kumpigia simu (kwa mujibu wa huyu binti) jamaa alimuuliza "upo wapi"? demu akajibu nipo nyumbani, Njoo .....bar...sasa kilichojiri huko jana sikijui nadhani leo ataniambia tu..
Kwa hiyo, wanaume tuwe makini sana na mahawara kwani yawezekana unaye na unatamani ujinasue kwake ila moyo wako unakufa ghafla na kuamua kuendelea naye hadi sasa. Pls, tuwe makini sana.
Akirudi siku nyingine kuomba hela hata kama huna nicheki tuchange tumpe