Wanaume wenye Mahawara Please Muwe Makini sana

Wanaume wenye Mahawara Please Muwe Makini sana

dhambi gani? wewe mtu anakulilia ufanyeje?

1. Ww ni ngombalo
2. Ww ni bonge la kilaza
3: Ww ni dume jike
4. Ww huna akili mwanaume mwenye akili hwezi kutoa pesa kwaajili ya ushirikina
5. Hii stor ni ya uwongo.
 
cjakuelewa! Unatoa ushauri watu wawe makini. Nawe umetoa hela na huku ukijua inaenda kwa mganga. Umakin wako uko wap, mkuu?

ndio hapo nalishangaa! Hili jamaa ni punga kweli....
Halina hata aibu linasaidia kumoga mwanaume mwenzie ili tu lionekane jema mbele ya huyo malaya...
 
Mkuu punguza hasira, kama kutoa hela nimefanya kosa basi mungu anisamehe, ila sikuwa na namna maana nilimshauri sana but hakutaka kuelewa. Lakini hata ningemnyima nafsi ingeniuma sana maana huwa siwezi kumkatalia kumsaidia mtu kama naweza kufanya hivo.

yaan ww jamaa ni ng'ombe kabisa ww!
Yaan mtu anakuomba hela ili akamroge mwanaume mwenzako naww kwa upumbavu wako unakenua mimeno unatoa hela ili mwenzio alogwe...
Halafu leo unasema mungu akusamehe.

Ww bila shaka unavalishwa sket. Mwanaume lijali na aliyekamili hawezi kuwa **** kama ww.
Yaan tungekuwa karibu mpaka sasa ungekuwa huna meno kama manne hvi.
 
Ndo mana wajanja wanalipia huduma na kutambaa na si kuweka vibanda ndo hvy mkomeee

kuna jamaa mmoja anasemaga hivyo hivyo...hawezi kuwa na kimada...atachukua changudoa...hakuna mkataba...wala mke kujua..wala HIV kwani hana imani nao...ni mwendo wa kinga..

Nilikuwa namuona bonge la malaya...sasa nimeanza kuelewa...
 
1. Ww ni ngombalo
2. Ww ni bonge la kilaza
3: Ww ni dume jike
4. Ww huna akili mwanaume mwenye akili hwezi kutoa pesa kwaajili ya ushirikina
5. Hii stor ni ya uwongo.

ndio hapo nalishangaa! Hili jamaa ni punga kweli....
Halina hata aibu linasaidia kumoga mwanaume mwenzie ili tu lionekane jema mbele ya huyo malaya...

yaan ww jamaa ni ng'ombe kabisa ww!
Yaan mtu anakuomba hela ili akamroge mwanaume mwenzako naww kwa upumbavu wako unakenua mimeno unatoa hela ili mwenzio alogwe...
Halafu leo unasema mungu akusamehe.

Ww bila shaka unavalishwa sket. Mwanaume lijali na aliyekamili hawezi kuwa **** kama ww.
Yaan tungekuwa karibu mpaka sasa ungekuwa huna meno kama manne hvi.

Aisee mbona umepanic sana ndio zako nini? Na bado mtarogwa sana tu mpaka mtie akili
 
Jumamosi ya juzi nikiwa ndani mwangu nafuatilia Bunge, nilisikia hodi ikabidi nikajue ni nani, alikuwa ni Jirani yangu (Binti) ana miaka kama 24-26 hivi, toka nimehamia hapa sijui ana shughuli gani inayomwingizia kipato au inayomfanya aishi hapa mjini, Baada ya kumkaribisha ndani akaanza hivi. (Jina Langu) samahani, nikamjibu...bila samahani...(Jina lake), nina shida ya sh.30,000/= naomba unisaidie,(kwa kuwa nimezoena nae sana akaanza kunisimulia) Kuna hawara yake ni doctor hapa Bug...juzi yake alimwambia kuwa "hamtaki tena kuanzia Juzi hiyo" huyo hawara yake ana mke na watoto 3. Ni yeye (hawara) ndiye anayemlipia kodi ya nyumba, anamsomesha chuo cha Hotel management na ndiye anayemtunza kwa maana ya chakula. Sasa kodi inaisha mwezi wa kwanza mwakani na ada ya chuo anadaiwa na imebaki sh. 700,000/= na pesa ya kwendea field Zanzibar hana. Akaniambia kuwa, ...Nimepata mtaalamu (mganga) ameniambia nimpe sh. 30,000/= ili anipe dawa nimvute, (Amchomee) ili kurudisha

mwishowe atakuchomelea wew ongera mkuu
 
yaan ww jamaa ni ng'ombe kabisa ww! Yaan mtu anakuomba hela ili akamroge mwanaume mwenzako naww kwa upumbavu wako unakenua mimeno unatoa hela ili mwenzio alogwe... Halafu leo unasema mungu akusamehe. Ww bila shaka unavalishwa sket. Mwanaume lijali na aliyekamili hawezi kuwa **** kama ww. Yaan tungekuwa karibu mpaka sasa ungekuwa huna meno kama manne hvi.

dah watu mna maneno machafu haya yote yametoka wap? kamsaidia yeye lakin umeongea mpaka unatoa povu.dah unajua kununua kesi zisizokuhusu
 
Wabongo kwa kuamini ushirikina tu!

Kwa hiyo mwanamme hawezi kupiga chini nyumba ndogo kwa guilty conscious, akarudi kwa mkewe, akawa bored kwa mkewe na kurudia tena nyumba ndogo?

Bila ushirikina?
 
Chumvi umeongeza kidogo...hotel management ada vyuo best ni laki nne na nusu....nenda veta chang'ombe...
 
Mwanamme analogwa kwa viuno na nyama ya ulimi, sio kwa uchawi.

Uchawi wa kiuno utakuwa umeisha nguvu ndo maana anajifanya kukacha kulipa kodi na ada, ngoja arudishwe kwenye mstari af ndo akatikiwe tena
 
Kama uchawi uo upo kwanini asingemuita mzee MENGI AU BAKHARESA afaidi zaid?
 
Chumvi umeongeza kidogo...hotel management ada vyuo best ni laki nne na nusu....nenda veta chang'ombe...

Mkuu hiyo ni pamoja na.deni la nyuma kaambiwa alipe madeni yote ndo ataruhusiwa kufanya paper.
 
Jumamosi ya juzi nikiwa ndani mwangu nafuatilia Bunge, nilisikia hodi ikabidi nikajue ni nani, alikuwa ni Jirani yangu (Binti) ana miaka kama 24-26 hivi, toka nimehamia hapa sijui ana shughuli gani inayomwingizia kipato au inayomfanya aishi hapa mjini, Baada ya kumkaribisha ndani akaanza hivi. (Jina Langu) samahani, nikamjibu...bila samahani...(Jina lake), nina shida ya sh.30,000/= naomba unisaidie,(kwa kuwa nimezoena nae sana akaanza kunisimulia) Kuna hawara yake ni doctor hapa Bug...juzi yake alimwambia kuwa "hamtaki tena kuanzia Juzi hiyo" huyo hawara yake ana mke na watoto 3. Ni yeye (hawara) ndiye anayemlipia kodi ya nyumba, anamsomesha chuo cha Hotel management na ndiye anayemtunza kwa maana ya chakula. Sasa kodi inaisha mwezi wa kwanza mwakani na ada ya chuo anadaiwa na imebaki sh. 700,000/= na pesa ya kwendea field Zanzibar hana. Akaniambia kuwa, ...Nimepata mtaalamu (mganga) ameniambia nimpe sh. 30,000/= ili anipe dawa nimvute, (Amchomee) ili kurudisha

mwishowe atakuchomelea wew ongera mkuu

hahahaha!! sina muda wa hivyo mkuu, naona hunijui vzr.
 
yaan ww jamaa ni ng'ombe kabisa ww!
Yaan mtu anakuomba hela ili akamroge mwanaume mwenzako naww kwa upumbavu wako unakenua mimeno unatoa hela ili mwenzio alogwe...
Halafu leo unasema mungu akusamehe.

Ww bila shaka unavalishwa sket. Mwanaume lijali na aliyekamili hawezi kuwa **** kama ww.
Yaan tungekuwa karibu mpaka sasa ungekuwa huna meno kama manne hvi.
Mkuu una matatizo sana wewe, chukua tahadhari wewe mwenyewe, usinishambulie mm na haitasaidia kamwe, kila mtu ataubeba msalaba wake, shukuru nimekusaidia umejua.
 
cjakuelewa! Unatoa ushauri watu wawe makini. Nawe umetoa hela na huku ukijua inaenda kwa mganga. Umakin wako uko wap, mkuu?

Yaani hapa mkubali msikubali ndugu yetu yamempata hayo ili atufundishe hata kama alimpa 30000 haijalishi. Tatizo ni kwenu nyie mnao mpa mtu matumaini ya kuishi mjini halafu unajua una Mke na watoto then unataka kumuacha unadhani huyo hawara ana moyo wa chuma haumii nini. So maana yake msiwe na michepuko la sivyo mtarogwa mpaka muwe MAZEZETA
 
Back
Top Bottom