Wanaume wenye Mahawara Please Muwe Makini sana

Wanaume wenye Mahawara Please Muwe Makini sana

Na bado mtafanywa hadi mazezeta c mnajifanya nyie hamtisheki na mmoja na kujisifiaaaaa nampongeza huyo mdada
 
Niliiona hiyo, nikawa najiuliza hiyo ada ni kiasi gani maana anasema hiyo 700,000 ndio iliobaki abadaiwa kwa maaana kuna malipo ya ada yalishatangulia. Ukiwa muongo ujue kuutengeza

Mkuu, kuwa mwelewa basi, ada iliyobaki hadi amalize chuo ni hyo 700,000/= sasa ulitaka niandike kila neno hapa? anyway, alishapewa ada kipindi cha nyuma ila alichukua kiasi akatumia kwa matumizi yake, iliyobaki ndo akalipa ada, kwa hiyo kaunganisha na deni la nyuma.
 
Wao c wanajifanya wanafundishana mbinu za michepuko ss hiyo ndio dawa yaoooooooo safiiiiiiii sanaaaa mdada pongez kwakoo
 
Mkuu, wewe ndie ambaye hujaelewa hapa. Ukiangalia post niliomnukuu The Boss ni kuwa ada za hiyo kozi anayosomea huyo dada haizidi 450,000. Kwa kitendo cha yeye kudaiwa 700,000 inamaanisha ya kwamba ada ni zaidi ya laki saba, kitu ambacho si kweli.

Kama kaunganisha na deni la nyuma hapo naweza kubali...pamoja sana mkuu


Mkuu, kuwa mwelewa basi, ada iliyobaki hadi amalize chuo ni hyo 700,000/= sasa ulitaka niandike kila neno hapa? anyway, alishapewa ada kipindi cha nyuma ila alichukua kiasi akatumia kwa matumizi yake, iliyobaki ndo akalipa ada, kwa hiyo kaunganisha na deni la nyuma.
 
Last edited by a moderator:
Ukichepuka unalogwa, ukirudi home nako unakuta dozi nyingine ya ulozi. The net effect inakua ziro, yaani zinaji-cancel zenyewe unabaki salama. Mbaya usipochepuka maana utabaki umelogwa na mkeo tu. Unakua zoba
 
Ukichepuka unalogwa, ukirudi home nako unakuta dozi nyingine ya ulozi. The net effect inakua ziro, yaani zinaji-cancel zenyewe unabaki salama. Mbaya usipochepuka maana utabaki umelogwa na mkeo tu. Unakua zoba

Hahahaaa mkuu nimeipenda
 
Ukichepuka unalogwa, ukirudi home nako unakuta dozi nyingine ya ulozi. The net effect inakua ziro, yaani zinaji-cancel zenyewe unabaki salama. Mbaya usipochepuka maana utabaki umelogwa na mkeo tu. Unakua zoba

Mh, hii hesabu Nimeipenda
 
Umeharibu sana, hela yako imeenda kwa mganga hutokuwa tajiri tena. Ukipata tu hela mganga anazivuta...
 
Ndo maana wanasema, michepuko sio dili, baki njia kuu. Ukijijua una familia, tulia tunza familia yako, mambo ya kuchepuka chepuka matokeo yake ndio hayo. Acha yamkute. Kumpiga chini dada wa watu ghafla naye ndiye alibeba uwezeshaji, anategemea aishije mjini?


wengi hawajui hili
 
Mkuu maamuzi uliyochukua siwezi kukulaumu saana ila ulipaswa kufikiri vizuri.

Ungeweza kumpa taarifa jamaa kwamba mwanamke anamchezea ingefaa zaidi lakini ubaya unakuja pale wakirudiana unaonekana wewe unachezea penzi la watu na una wivu na penzi lao.

Ungemnyima pesa ingekuwa sio jambo zuri saana maana nyinyi ni majirani huwezi jua leo kwake kesho kwako!

Ulipaswa ufikiri njia nzuri ya kufanya!
 
Walogwe tu mpaka wawe mazuzu wanaume kwa kupenda michepuko hamjambo mtalishwa sana vinyama vilivowekwa kwenye papuchi mkome
 
Ukichepuka unalogwa, ukirudi home nako unakuta dozi nyingine ya ulozi. The net effect inakua ziro, yaani zinaji-cancel zenyewe unabaki salama. Mbaya usipochepuka maana utabaki umelogwa na mkeo tu. Unakua zoba

Asante mwanafizikia!
 
Back
Top Bottom