Wanaume wenye Mahawara Please Muwe Makini sana

Wanaume wenye Mahawara Please Muwe Makini sana

Ndo maana wanasema, michepuko sio dili, baki njia kuu. Ukijijua una familia, tulia tunza familia yako, mambo ya kuchepuka chepuka matokeo yake ndio hayo. Acha yamkute. Kumpiga chini dada wa watu ghafla naye ndiye alibeba uwezeshaji, anategemea aishije mjini?

Hapo umenene nakupa big up mini hapa kakubali kuwa mfadhili then anakata mirija ya escrow unadhani mwenzie atafurahia? Wapiiiii wacha wakomeshwe bwanaaaaaa
 
Jamen si kaja kutoa tahadhari kwa wanaume na kutupa mbinu wanawake ubaya uko wapi hapo?

Nami nashangaa wanavyo mmind kaka wa watu kawapa angalizo jiongezeni alllaaaaaaaaa @#$*&+-()% nyie
 
Hekima ya Mungu tangu uumbaji ni MME MMOJA NA MKEWE MMOJA mpaka kifo kiwatenganishe.
Michepuko inaleta madhara hayo nk !
 
Upo sahihi mkuu

Mkuu mkeo akijisahau,mrudishe kwenye mstari sio kwenda kutafuta alternative,,,,,,,huko ndio gusa unase!...sidhani kama mwanaume mwenye akili zake i mean rensponsible ata risk kuisambaratisha familia yake na kuambukizwa ukimwi kisa starehe za kijinga.........
 
Niliiona hiyo, nikawa najiuliza hiyo ada ni kiasi gani maana anasema hiyo 700,000 ndio iliobaki abadaiwa kwa maaana kuna malipo ya ada yalishatangulia. Ukiwa muongo ujue kuutengeza

Chumvi umeongeza kidogo...hotel management ada vyuo best ni laki nne na nusu....nenda veta chang'ombe...
 
Tujifunze mkuu sisi wanaume, this is a lesson! ww yawezekana ukaona kuwa ni umbea "well" lakini tuwe makini jamani.

Muweje makini sasa? Kuzuia kahaba asikuloge au kuacha uzinzi?
Kwanza kitendo cha kuwa na hawara wakati una mke wa ndoa ni KUKOSA UMAKINI!
Hiyo tu inakufanya kuwa hatari not only kulogwa bali hata kupata magonjwa ya zinaa, umasikini na kuharibu ndoa yako!
Waambie wanaume wenzio waache UZINZI na siyo kuumauma maneno eti tuweni makini jamani wakati unaingiza mkono kwenye shimo la nyoka huku ukijua wazi humo ni makazi ya nyoka!
 
Aisee mbona umepanic sana ndio zako nini? Na bado mtarogwa sana tu mpaka mtie akili

hivi ungekuwa ndio ww unapata stor kuwa jamaa amempa hela kimada wa mmeo ili mmeo akamatwe masikio hvi ungemuonaje mwanaume wa aina hyo??...

Sio kupanic tu bali ningekuwa karibu naye sasa hvi angekuwa kibogoyo...
 
Yaani na wewe ukatoa kabisa elfu 30,000.
tutakupigia kura utolewe kundini
 
Aisee mbona umepanic sana ndio zako nini? Na bado mtarogwa sana tu mpaka mtie akili

lakn msifikir kuroga ndio njia sahihi!.
Mtakuja kujaribu kuwaroga wasiorogeka ndio hapo mtaishia kuumbuka...

Kuna watu bhana hata ukiwateta wanajua kuwa wametetwa...

Mwenzenu mmoja alijaribu kumwekea dawa mchumba wake kwenye chai ile jamaa anashika kikombe tu kikadondoka na kumwaga chai tayar jamaa katoa notice
 
hivi ungekuwa ndio ww unapata stor kuwa jamaa amempa hela kimada wa mmeo ili mmeo akamatwe masikio hvi ungemuonaje mwanaume wa aina hyo??...

Sio kupanic tu bali ningekuwa karibu naye sasa hvi angekuwa kibogoyo...

Mume wangu akirogwa lazima ntaumia maana ananihusu....lakini na nyie muache kuchepuka khaaa
 
lakn msifikir kuroga ndio njia sahihi!.
Mtakuja kujaribu kuwaroga wasiorogeka ndio hapo mtaishia kuumbuka...

Kuna watu bhana hata ukiwateta wanajua kuwa wametetwa...

Mwenzenu mmoja alijaribu kumwekea dawa mchumba wake kwenye chai ile jamaa anashika kikombe tu kikadondoka na kumwaga chai tayar jamaa katoa notice

Mi mwenyewe siwezi kuroga jitu...kama limenichoka naliacha liende tu ila wanaorogwa mi nasema warogwe tu.
 
Mume wangu akirogwa lazima ntaumia maana ananihusu....lakini na nyie muache kuchepuka khaaa

kuna sababu nyingi sana znazomfanya mwanaume achepke.. Kwahyo tusitangulize lawama tu
 
kuna sababu nyingi sana znazomfanya mwanaume achepke.. Kwahyo tusitangulize lawama tu

Kwangu mimi hakuna justification yoyote ya mtu kuchepuka.....ni umalaya tu
 
af bei rahisi tu elf 30, tunalipiwa kodi, ada na mengine kadhalika

Saaaana fikiria mai mtu anakutoa mbali hali anajua ana mke ila anakutongoza halafu anakupa huduma kwani alikuwa hajui ana familia angetulia na familia yake huko hapa kurogwa mpaka watulie waache michepuko tu
 
Kwangu mimi hakuna justification yoyote ya mtu kuchepuka.....ni umalaya tu

kuna thread moja ipo hapo sema sijui kuweka link... No one to blame... Hvi unadhan mchepuko utakwepeka hapo?
 
Back
Top Bottom