usipostay away ntapandwa na hasira nkutimizie haja zako, sijaribiwi mimiHata sisimizi ana wife, sistay away

Ahsante ni kutoka kitabu gani mkuuKwetu Mara tunawapiga kinoma na ndo wanazid kutupenda,maana hata MUNGU katuruhusu,ukijifany mpole kwa dem,imekula kwakoView attachment 409792
Kitabu gani hicho tafadhali...
Pole kwa kutendwa..DaahMwanaume mwenye huruma, ni mpenda wanawake, anaethamini wanawake, na ni mkweli, na mwenye moyo mzuri, huyu upendwa tu hata kama hana pesa. Na hudumu kwenye ndoa.
Wanaume wakatili, wabakaji, wenye maneno mabovu, waharibifu wa wanawake, wababe wababe, wazinzi, wenye dharau, wenye kuthamini marafiki na magroupe kuliko mwanamke wake, wanaopenda mamlaka na ukubwa ukubwa, wanaopenda sifa sifa, waongo, wanaojifanya wajanja, hawa wanaitwa washenzi type, hawa hawapendwi na hawadumu kwenye ndoa.
Wakifulia ukimbiwa, dawa yao ni kukomolewa na kuwadai pesa nyingi, bila pesa hawapendwi. Kwahiyo mnaopendewa pesa, basi mjue labda munadosari.
Sira 25:16 mkuuKitabu gani hicho tafadhali...
Evelyn Salt, tafadhali ni-PM hata lips zako tu. Hata unywele tu. Au hata vidole tu. Au hata jicho tu ili mtima wangu upate burudikoHa ha ha ha kama hujui kutiana heri utafute pa kufanyia mazoezi kwanza
Yani umesema ukweli haswaUzoefu wangu unaonesha wanaume wapole, wenye huruma na wenye mapenzi ya dhati huishia kuumizwa sana
Sasa kuna wale wakorofi ndo huwa wana liliwa kilasiku na hawa achwi
*ki ukweli huwa nashindwa kujua kwa nini
hahah duh, we kauzu.KE anao mdomo pia wa kula nnya
Vidole vyangu vipo kama tangawizi, nkutumie hivo hivo?Evelyn Salt, tafadhali ni-PM hata lips zako tu. Hata unywele tu. Au hata vidole tu. Au hata jicho tu ili mtima wangu upate burudiko
Na nyie mayai ndo mnaumizwaga hadi huruma, moyo unapondwa pondwa unakua kama nyanya mbovu.... PoleniHATA PUNDA HAENDI BILA MCHAPO, NAELEWA MAMY, SIE WENGINE MAYAI TUNAHITAJI KUTREATIWA KWA HURUMA, NA GOOD BOYS. ILA NYIE VYUMA KWELI BAD BOYS NDIO FIT
Na nyie mayai ndo mnaumizwaga hadi huruma, moyo unapondwa pondwa unakua kama nyanya mbovu.... Poleni
Hivyo hivyo, ulivyoumbwa ndivyo ulivyo Evelyn Salt.Vidole vyangu vipo kama tangawizi, nkutumie hivo hivo?
MamboHiyo kind ya wanaume wenye huruma wanakuaga sio watamu kabisa.... Sorry