baba glory
JF-Expert Member
- Jan 22, 2016
- 292
- 213
Mwanaume sharti uwe shababi sio kila kitu ndiyo,lazima ukikoroma mwanamke aseme yesUzoefu wangu unaonesha wanaume wapole, wenye huruma na wenye mapenzi ya dhati huishia kuumizwa sana
Sasa kuna wale wakorofi ndo huwa wana liliwa kilasiku na hawa achwi
*ki ukweli huwa nashindwa kujua kwa nini

