Wanaume wenye huruma

Wanaume wenye huruma

Kwetu Mara tunawapiga kinoma na ndo wanazid kutupenda,maana hata MUNGU katuruhusu,ukijifany mpole kwa dem,imekula kwako
1475246959816.jpg
 
Ukisoma mwanzisha uzi utaelewa nnacho ongea bro.
Hata hatuna haja ya kuanza chochote
wewe umesema mwanaume mpole anachapiwa, nataka kujua sababu ipi inayohusiana na upole inamfanya achapiwe?
 
Ndio na mimi najiuliza sasa kama wewe, wanawake wenyewe ndo wanajua
mwanaume akiwa mpole anaonekana kama mwanamke, wanawake siku zote wanapenda mtu anaewachalenj so sometimes unamlegezea sometimes unamkazia. haka kamamsapu kakianza kuongea mashudu nikimkazia macho tu anajua kimenuka.

kujifanya mkatili hakutalinda mahusiano yako, kwenye relationship mwanaume inabidi uwe unabehave kama SLEEPING BEAST. siku atakayokuamsha ataita jina la babu yako mzaa mama.
nikiwa napiga ulabu bar nakutana na wanawake mbali mbali wanaolalamika mabwana zao ni wakatili, basi mi nnavyowasapoti na kuwategea sikio nawakamata vibaya mno.
ila sio mbaya, endelea tu kuwa mkatili, mimi nitafanya kazi ya kumpooza mkeo pale bar
 
mwanaume akiwa mpole anaonekana kama mwanamke, wanawake siku zote wanapenda mtu anaewachalenj so sometimes unamlegezea sometimes unamkazia. haka kamamsapu kakianza kuongea mashudu nikimkazia macho tu anajua kimenuka.

kujifanya mkatili hakutalinda mahusiano yako, kwenye relationship mwanaume inabidi uwe unabehave kama SLEEPING BEAST. siku atakayokuamsha ataita jina la babu yako mzaa mama.
nikiwa napiga ulabu bar nakutana na wanawake mbali mbali wanaolalamika mabwana zao ni wakatili, basi mi ntavowasapoti na kuwategea sikio nawakamata vibaya mno.
ila sio mbaya, endelea tu kuwa mkatili, mimi nitafanya kazi ya kumpooza mkeo pale bar
YAKHE! MUSICHAPIANE JAMANI SIYO VEMA ATI, TANGAZENI TU UPENDO ILA UKATILI SIYO DEAL ATI ........ UKALI UNAKUJAGA TU SOMETIMES KAMA KUNA ISSUE HAZIJAENDA VZR ILA SIYO UNALETA UBANDIDU WAMTISHAAAA WEEEE MTOTO WA WATU MPAKA ANAKUKIMBIA , CHAPA WANGU UTAKUJA TU UTANIPA DATA ZOOTE MWENYEWE.........NATAZAMA TU MWEZI UPO NUSU AU ROBO , BAHARI IPO KUPWA AU JAZI? UTATOA SHUHUDA KWA KILA MTU ATI, HUGUSWI ILA....YAKHE! SHUKRANI
 
YAKHE! MUSICHAPIANE JAMANI SIYO VEMA ATI, TANGAZENI TU UPENDO ILA UKATILI SIYO DEAL ATI ........ UKALI UNAKUJAGA TU SOMETIMES KAMA KUNA ISSUE HAZIJAENDA VZR ILA SIYO UNALETA UBANDIDU WAMTISHAAAA WEEEE MTOTO WA WATU MPAKA ANAKUKIMBIA , CHAPA WANGU UTAKUJA TU UTANIPA DATA ZOOTE MWENYEWE.........NATAZAMA TU MWEZI UPO NUSU AU ROBO , BAHARI IPO KUPWA AU JAZI? UTATOA SHUHUDA KWA KILA MTU ATI, HUGUSWI ILA....YAKHE! SHUKRANI
hahahahh, ustaadh saaleku.. we mke wako simgusi hata ukinipa ruhusa nani anataka mambo ya babuchi na papuchi kunatiana?
 
Back
Top Bottom