marandu2010
JF-Expert Member
- Aug 7, 2010
- 1,201
- 446
Kwa hiyo kupenda hakupo au???Wewe wape kupendaaa wangapi
Kwa hiyo kupenda hakupo au???Wewe wape kupendaaa wangapi
Maswali yamefanyaje???Na amekazana kweli, maswali yake sasa!!
Naona na wewe unapiga debe utunzwe na mkeo kwa kisingizio cha elimu. Na hatuwatunzi ng'o! Hii movement yako imeshafeliElimu tu..acheni uombaomba..nyinyi sio walemavu...fanyeni kazi na nyinyi muwatunze wanaume wenu.
Timekushtukizia.... Umeanza harakati za kudai wanaume nanyi mtunzwe... Bila hata aibu.Kwa hiyo kupenda hakupo au???
Hahaha kumbe nyinyi hamtaki kutunza..ya nn kutaka kutunzwa??? Tutunzane..sasa hv haki sawa.Naona na wewe unapiga debe utunzwe na mkeo kwa kisingizio cha elimu. Na hatuwatunzi ng'o! Hii movement yako imeshafeli
Wakati na nyinyi sasa hv mnafanya kazi sawa na wanaume?? Haki sawa..mwanamke anafanya kazi sawa na mwanaume...zamani wanaume pekee ndio walikuwa wanafanya kazi za uchumi..wanawake walikuwa mama wa nyumbani tu...mkitaka tuwatunze..bakini kuwa mama wa nyumbani...mtuachie sisi wanaume kazi zote za kuingiza kipato...otherwise tutunzane.Timekushtukizia.... Umeanza harakati za kudai wanaume nanyi mtunzwe... Bila hata aibu.
Imeandikwa "mwanaume atakula kwa jasho lake"
RomanticHiyo kind ya wanaume wenye huruma wanakuaga sio watamu kabisa.... Sorry
........., aiseeee kumbe..!?Hiyo kind ya wanaume wenye huruma wanakuaga sio watamu kabisa.... Sorry
Dah umeongea nimekumbuka rafiki yangu huyo.Uzoefu wangu unaonesha wanaume wapole, wenye huruma na wenye mapenzi ya dhati huishia kuumizwa sana
Sasa kuna wale wakorofi ndo huwa wana liliwa kilasiku na hawa achwi
*ki ukweli huwa nashindwa kujua kwa nini

Mm siwezi kuwa mpole mda wote..hata manabii wenyewe hawakuwa wapole mda wote..yaani hata mwanamke akifanya upumbavu niwe mpole??
Eti eehDada wewe, mwanaume kama salio halisomi ataisoma namba... Usiwadanganye..
Yapi hayo ambayo huwez kusema mpendwaWanakua na huruma huruma hata kwa yale mambo yalee
Aise...katika ukristo iko kitabu gan na mstar gan na pia katika Quran ipo katika aya gan tuambizane***** yaan km unataka usidumu na mwanamke bas kua na sifaa nzuri za hapo juu kwenye post aloo atagongwa huyo hadi na mateja hlf atarudi kwako kuomba mrudiane
..kuna mwanamke hapendi mwanaume katili?kuna mwanamke hapendi mwanaume malaya?kuna mwanamke hapendi mwanaume mwenye sifa na mamlaka? nkama unataka umshauri mwanaume apendwe na wanawake wengi kwa mda mfupi mfundishe kua malaya,katili,mchoyo,muongo yaan huyo ht tongoza watakuja wenyewe
Mstar gan huo wa bibliaNi aibu ni fedheha mume kulishwa na mkewe..... Amina
Akiumwa mfano ambapo hawez kula what du u suggest alishwajeNi aibu ni fedheha mume kulishwa na mkewe..... Amina
Ushasema "akiumwa"Akiumwa mfano ambapo hawez kula what du u suggest alishwaje
sasa ukiwa mkristo safi ili udumu na mwanamke kua mbishi sn,jiamini,kua na maamuzi,toa msaada kwa kiasi ,usionyeshe roho nzuri hasa ukiwa na mkeo karibu....yote hayo sio dhambi yatakusaidia ....na sio ushauri ya kijinga wa hapo juu....nkama wewe mdada sijui utaniambia nn khs wanawake mnk mi nashauriwa na mwanaume,mwanamke KAMWE hajui anachotaka nkazi ya mwanaume kujua mwanamke husika antaka nnAise...katika ukristo iko kitabu gan na mstar gan na pia katika Quran ipo katika aya gan tuambizane
ushenzi wao nini?