Wanaume wenye huruma

Wanaume wenye huruma

Ha ha ha unataka kutuaminisha eti wanaomba hela kwa sababu wanaume jeuri? Njaa ndio sababu
 
Mwanaume anayemfanya mwenzi wake awe na ile security... .mwanaume mbabe kiakili anayejua kutafuta na anayejali familia....mwanaume ambaye anajua mwenzi wake anataka nini wakati gani....hatakiwi kuwa mpole kufanya yote hayo ishu in kujitambua
Mwanaume anayekushake Mara moja moja si mbaya ilimradi anakuweka saw a....sio kwa vipigo lakini
 
Mwanaume mwenye huruma, ni mpenda wanawake, anaethamini wanawake, na ni mkweli, na mwenye moyo mzuri, huyu upendwa tu hata kama hana pesa. Na hudumu kwenye ndoa.

Wanaume wakatili, wabakaji, wenye maneno mabovu, waharibifu wa wanawake, wababe wababe, wazinzi, wenye dharau, wenye kuthamini marafiki na magroupe kuliko mwanamke wake, wanaopenda mamlaka na ukubwa ukubwa, wanaopenda sifa sifa, waongo, wanaojifanya wajanja, hawa wanaitwa washenzi type, hawa hawapendwi na hawadumu kwenye ndoa.

Wakifulia ukimbiwa, dawa yao ni kukomolewa na kuwadai pesa nyingi, bila pesa hawapendwi. Kwahiyo mnaopendewa pesa, basi mjue labda munadosari.
Sasa na wewe unayempenda mwanamme kwa sababu ya pesa zake..wewe ni mbaya mara 2 zaidi ya huyo mwanaume..na atakugonga na atakuacha.
 
Mwanaume mwenye huruma, ni mpenda wanawake, anaethamini wanawake, na ni mkweli, na mwenye moyo mzuri, huyu upendwa tu hata kama hana pesa. Na hudumu kwenye ndoa.

Wanaume wakatili, wabakaji, wenye maneno mabovu, waharibifu wa wanawake, wababe wababe, wazinzi, wenye dharau, wenye kuthamini marafiki na magroupe kuliko mwanamke wake, wanaopenda mamlaka na ukubwa ukubwa, wanaopenda sifa sifa, waongo, wanaojifanya wajanja, hawa wanaitwa washenzi type, hawa hawapendwi na hawadumu kwenye ndoa.

Wakifulia ukimbiwa, dawa yao ni kukomolewa na kuwadai pesa nyingi, bila pesa hawapendwi. Kwahiyo mnaopendewa pesa, basi mjue labda munadosari.
Wewe umeona hakufai,si umuache??? Ya nn kukubali pesa zake.??
 
Hivi mtu mwenye huruma na anaekupenda kwa dhati, na unaempenda kwa dhati utamfanyia ubaya? Hapo kuna dosari kama si kwa mwanamke basi kwa mwanaume. Ama hakuna mapenzi ya dhati kutoka kwa huyo mwanamke, ni sister duu. Anawapenzi wengi
Mm siwezi kuwa mpole mda wote..hata manabii wenyewe hawakuwa wapole mda wote..yaani hata mwanamke akifanya upumbavu niwe mpole??
 
Pesa ndo medium of exchange, bila pesa maisha yanakwendaje? Wapo watu ambao wake zao wamewakimbia kwa sababu hawana hata pesa za kumudu mahitaji makuu ya msingi ya mwanadamu, wachilia mbali wale wanaojiuza, kama mwanaume hana pesa mapenzi atayasikia kwenye bomba
Hayo sio mapenzi ya kweli
 
Back
Top Bottom