Idugunde
JF-Expert Member
- May 21, 2020
- 6,273
- 6,637
Wanawake wa siku hizi sio kama wa zamani. Zamani wanawake walikuwa na mapenzi ya kweli. Mtu alikuwa anakaa kwenye ndoa na mahusiano bila stress. Mtu alikuwa anatunza, anasomesha na kisha kuoa bila kukwazana.
Siku hizi mambo yamebadilika sana. Watu wameamua kujidunga mitungi na kwenda homu kulala. Kama kupunguza uzito mtu anatafuta kazi ya muda tu au hakuna kuwekeza kabisa.
Siku hizi mambo yamebadilika sana. Watu wameamua kujidunga mitungi na kwenda homu kulala. Kama kupunguza uzito mtu anatafuta kazi ya muda tu au hakuna kuwekeza kabisa.